Je, dini ni upendo au ni chuki? Vita na mauaji yaliyokithiri

Umri wako?
 
Maelezo yako haya yana onesha kuwa umeielewa thread kwa kina.

Asante kwa kuni thibitishia hilo.
 
Dini ni siasa,dini ni power of people,dini ni slavery,dini ni brainwashing device,dini ni prestige,dini ni unnatural,dini ni division,dini ni hate,dini chaos,dini ni treasury,dini ni fear of mind illusion,dini haiku transform ina kuchange,dini inakupa false identity.

The only truth is inside you if you stop that Ego,thought,greedyness,knowledge,future,desire,then your are free Awaken hence utaexperience the inner joy,true heaven,God and eternal/timeless freedom.
Jifunze kwa ndege ,miti na mito just enjoy life just live everything happens itself,ukihangaika unakimbia ukweli wewe ni ukweli then enjoy it.
 
Kama ulianza na hao walitumia nguzo gani.Ili uwe Muislamu ni lazima uwe na nguzo tano.
Nani aliyekuambia kuwa waislam wote waliotangulia ilikuwa lazima wafuate nguzo Tano?

Hata hao waislam wa kipindi Cha mtume Muhammad wapo waliokufa kabla amri ya nguzo Tano za kiislam haijakuja
 
Above 18 . Kwa nini ume uliza hivyo ndugu ?
Kutokana na aina ya hoja zako. Ni kama vile umetoka sekondari juzi juzi. Labda nikuulize swali dogo tu, hivi unadhani dunia ingekuwa bila dini, yaani full atheism ambao wewe unawaona ndio wenye ufahamu mzuri kungekuwa na maisha ya furaha, amani na upendo? Kwamba watu wangeishi kwa raha na kula Bata tu, huku kila mmoja akiwa na mali nyingi wala hakuna umaskini, vita, magonjwa, njaa nk kwa sababu haya yote yameletwa na dini?
 
Hujasoma andiko kwa makini, andiko halizungumzi atheist,atheism na wala sijasema kuwa dunia ikiwa na atheist ndio ina kuwa dunia iliyo bora kuishi.

Sija andika mada hii kuisifia atheism sipo hapa kutangaza mazuri ya atheism.

Pia sija andika mada kuonesha kuwa mabaya yote hapa duniani yame letwa na hizo dini maarufu tatu soma tena andiko upya kuanzia kichwa cha andiko mpaka hitimisho.

Jitahidi kusoma kwa makini upate kuelewa ili mchango wako uwe ndani ya mada na sio nje ya mada.
 
Nani aliyekuambia kuwa waislam wote waliotangulia ilikuwa lazima wafuate nguzo Tano?

Hata hao waislam wa kipindi Cha mtume Muhammad wapo waliokufa kabla amri ya nguzo Tano za kiislam haijakuja
Nje ya Quran Hakuna uislamu,SAsa hao walitumia muongozo upi kujifunzia,hali Quran kaja nao Mtume.
Walikwenda Hijji Macca ?.
 
Nje ya Quran Hakuna uislamu,SAsa hao walitumia muongozo upi kujifunzia,hali Quran kaja nao Mtume.
Walikwenda Hijji Macca ?.
Nani aliyekuambia kabla Quran hakukua na uislam?

Nabii Nuhu, Ibrahim na Musa walikuwa na dini gani ? Au walikuwa wapagani?

Vipi hizo Makala zako unazosoma na kukujaza ujinga zinasemaje au zinasema kuwa Nabii Nuhu, Ibrahim na Musa walikuwa wakatoliki?
 
Mtoa mada unachotakiwa kujua nikwamba hizi dini zote, zina operate chini ya hasira ya Mwenyezi MUNGU.

Napia MUNGU ni upendo wala hana dini, ukishalijua hili huwezi kusumbuliwa na hizi dini feki, ambazo waumini wake na viongozi wao wa dini wanaishi maisha ya kunafiki just they pretend to live in their religions principles while they are not.
 
Unaposema imani zina mambo ya kuchukiza, huoni implication yake? Kwa hiyo unaandika mada halafu hata hujui mwelekeo wake? Umeandika si kwa lengo la kuuliza bali KUONYESHA jinsi gani dini ni za hovyo sana zinazoienga chuki kuliko upendo. Think big
 
Unaposema imani zina mambo ya kuchukiza, huoni implication yake? Kwa hiyo unaandika mada halafu hata hujui mwelekeo wake? Umeandika si kwa lengo la kuuliza bali KUONYESHA jinsi gani dini ni za hovyo sana zinazoienga chuki kuliko upendo. Think big
Ume hama tena kutoka kwenye atheist na atheism kuja kwenye maswala yako binafsi sifahamu tatizo nini hasa uelewa wa mada ume kuwa mdogo au nini shida? sifahamu.

Naomba uni jibie maswali yangu kama utapendezwa kufanya hivyo kama hauta pendezwa asante kwa ushiriki wako katika hii mada.
 
Kabla ya Muhamad mwaka 600 BC uislamu haukuwepo,acheni kudandia meli.
Hao walikuwa Wayahudi
 
Hakuna jipya, halafu imani haisomwi hivyo. Suala la atheism ni option uliyoiacha baada ya kushambulia dini. Hivyo litabaki hivyo
 
Hakuna jipya, halafu imani haisomwi hivyo. Suala la atheism ni option uliyoiacha baada ya kushambulia dini. Hivyo litabaki hivyo
Sawa asante kwa tafsiri yako juu yangu, kuwa na siku njema.
 
Wakatoliki ni zao la freemasonry.
 
Dini ni chili na majivuno ni miongoni mwa mambo machafuzi na mabaya kuliko mengine ukiacha sasa. SI KITU KIZURI NA HUCHANGIA SANA BAADHI YA UOVI.
 
Sitaweza kutenganisha na kujibu maswali yako yote , Ila nacho shukuru umekiri kua kwenye uislam kuna maamrisho ya Vita za kimauaji kwa sababu maalamu na hili ndilo lengo la thread toka mwanzo kama umeisoma vizuri?
Ndiyo vita imeruhusiwa kwa sharti maalum.
Dah mkuu ndiyo maana nakusisitiza usome, ukifuatilia uzuri jamii ilikuaje wakati Mussa (AS) anakuja na Torati, Yesu (as) anashua na Injili na Muhammad (PBUH) anashuka na Quran swali hili ungepata jibu.

Kujibu swali lako nikuwa hao wote walikuja kubadili mabaya ya jamii zao.
Mkuu samahani hivi unajua hali ilivyokuwa kabla ya dini?

Maana unasema ni kama vile hakuna tifauti kipindi cha dini na kabla ya dini.

Kwenye Uislamu kuna zama tunaziita zama za ujahiliya, pitia uone waarabu walikuwa wakiishije halafu uone kama dini imeendeleza au kukomesha mabaya.
Ukilisoma andiko langu kwa makini mwanzoni kabisa limezungumzia dini, Mungu wa hizo dini na wana dini kwa hiyo hakuna sababu ya mimi kuwaweka kando wanadini katika huu mjadala labda kama ujasoma andiko langu .
Nimesoma na ndiyo maana najutahidi kukujibu kwa mwamvuli wa dini zote mkuu.
Unasema Mungu wa hizo dini hajaamrisha chuki na mauaji, umesoma namna alivyo kuwa anawapatia maamrisho wayahudi kwenda kufanya mauaji pasipo kuacha hata kiumbe hai ardhini je hayo unaya fahamu ? Vipi kuhusu mafundisho ya taurati ya Mussa ?
Nimesoma mkuu, Mungu haswa anavyoelezwa kwenye Uislamu ni mungu aliye ‘pragmatic’ upendo unaouhubiri wewe una mipaka kwake, kwa sababu wanaadamu tunaishi duniani ambako kuna kanuni za kuishi na Binaadamu huwezi leta upendo kwa kila mtu kama hutaki kuangamia.

Upendo una mipaka na unakuja na wajibu vilevile mauaji yana sababu maalum.

Nimekuuliza swali dogo sana Mtu akimbaka na kumlawiti mamayo, dadayo, mkeo na bintiyo utampenda na kumhubiria upendo?

Mtu akikuondoa ktk ardhi yako utamhurubia upendo?

Haya maswali ndiyo yanayijibiwa na dini kuwa uovu si wa kuuvumilia.

Ndiyo maana Mungu anatuambia adui akitutoa kwenye ardhi yetu tumpige pasina kumuonea huruma mpaka atakapoiacha ardhi yetu, ila mtu akitujia kwa wema nasi tuwe wema zaidi kwake.

Mwizi akiiba akatwe mkono wake, ila masikini akija kuomba msaada tumsaidie kwa tulicho nacho.

Upendo una mipaka yake.
Vipi kuhusu Jihad ni nini ?
Nimekujibu karibia mara tatu,
Unaposema nijifunze kuhusu dini ni ushauri bora kabisa ili nielewe nacho zungumza na ninge penda ufahamu dini huwa najifunza kadiri navyo pata nafasi ili nielewe nacho zungumza.
Vizuri sana, usijifunze dini pekee sasa jifunze na historia, siasa na saikolojia itakusaidia sana.

Dini huwezi itenganisha na siasa, ni makosa kufikiri hilo linawezekana.

Mathalan uislam ni dini iliyokuja pamoja na kanuni za kisiasa, Uislam umekwisha ongoza dola na himaya.

Huwezi tenganisha dini na siasa mkuu.

Dini ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu, lengo lake ni kutoa muongozo wa namna ya kuyaendea maisha kwa wanaadamu.
Vizuri Kwa kulijua hilo.

Soma vile vitabu nilivyovipendekeza kwako mkuu, vina msaada mkubwa sana.

Nikuulize swali mkuu;

Unapendekeza iweje tuachane na dini tuwe na mfumo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…