ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Habari za saa wanachama natumai ni njema.
Mjadala wa leo kupitia maswali umejikita katika kufahamu,je upi msingi wa hizi dini zilizopo hapa duniani kwa sasa hasa hasa hizi dini kubwa tatu maarufu ukristo, uislam na uyahudi ni nini?. kutokana na wanayo ya hubiri na wanayo ya tenda.
Ukiifuatilia historia ya hizi dini[ ukristo, uislam na uyahudi] uchipuaji wake hapa duniani ume gubikwa na matukio mengi sana ya kutisha, kuhuzunisha na hata kukasirisha.
Hata ukuaji na usambazwaji wake duniani ulikua katika namna ya tofauti sana jambo linalo tilia shaka juu ya yale yanayo pambwa nje na yaliyo ndani ya hizo dini.
Kwa asilimia kubwa dini hizi katika historia zake za uanzishwaji na ukuaji zimetawaliwa na mauaji, chuki, visa , utumwa, vita na vifo vya watu wengi sana na hata vitabu vya hizi dini vinavyo itwa vitabu vitakatifu kwa hao wafuasi wake navyo vime hararisha baadhi ya hayo mambo niliyo orodhesha kwa sifa na utukufu wa huyo wanaye muabudu.
Hizi hapa ni baadhi ya vita zilizo mwaga maelfu na maelfu ya damu zilizo piganwa na hizi dini kubwa maarufu nizi zungumziazo huku zikivishwa kiremba cha “vita takatifu”sifa na utukufu kwa huyo wanaye muabudu:-
i, First crussade, 1096
ii, Second crussade, 1145-1149
iii, Third crussade,1189
iv, Fourth crussade, 1202-1204
v, Fifth crussade, 1213
vi, Sixth crussade, 1228
vii, Jerusalem massacre, 1099
viii, Children's crussade, 1212
ix, Spanish christian - Muslim war, 912- 928
x, Spanish christian- Muslim war, 977- 997
xi, Spanish christian- Muslim war, 1001- 1031
xii, Spanish christian- Muslim war, 1172- 1212
xiii, Spanish christian - Muslim war, 1230- 1248
Xiv, Christians- Donatists war, 317
xv, Christians- Estonians war, 1208- 1224
xvi, Battle of Badr, 624 AD
xvii, Battle in Uhud, 625
xviii, Battle in Mecca, 630
ix, Battle in Hunayn, 630
x, Battle in Khandaq, 627
xi, Jihad wars in west Africa, 19th century
Na vita zengine nyingi sana hizi dini zili husika katika umwagaji wa damu mkubwa.
Maisha ya hawa watu wenye hizi dini kubwa kwa asilimia kubwa yame tawaliwa na majungu, chuki, visasi na masengenyo kwa wale wasio wafuasi wao, ustaarabu kwa asilimia kubwa kwa jamii ya wana dini umekosekana haya unaweza ukaya shuhudia pia kupitia jaziba na michango yao humu majukwaani iliyo jaa chuki, hasira na lugha chafu.
Makundi ya kigaidi mengi yanayo sambaza hizi dini kwa njia ya upanga na mauaji ya kutisha kwa wale wasio fungamana nao, huu umekua utamaduni wa usambazaji wa hizi dini kwa njia iliyo ya mabavu ya kutisha toka kale.
Maswali:
1.Lengo hasa la uwepo wa hizi dini hapa duniani ni nini ? [ hasa hasa hizi dini kuu tatu ukristo,uislam na uyahudi ] na je mpaka sasa hizi dini zipo ndani ya lengo au zipo nje ya lengo ?
2. Kwa nini hizi dini zina imba wimbo wa amani huku zikiwa zimeshika mapanga?
3. Kwa nini hizi dini zina endekeza ubaguzi, chuki, masengenyo na uharibifu mkubwa kwa wale wasio wa amini ?
4. Je hizi dini zina abudu Mungu wa upendo au zina abudu Mungu wa Vita, chuki, visasi, ubaguzi na masengenyo ?
5. Je hizi dini zime shindwa kustaarabika ?
6. Kwa nini vita za umwagaji mkubwa wa damu zilitwa vita takatifu? Je zilikuwa ni maigizo ya huyo Mungu wao kuzi tekeleza kwa watu ?
7. Kwa nini usambazaji wa hizi dini uliji kita katika vita na utiaji wa hofu kuliko upendo na amani kama wasemavyo wao kupitia picha ya nje ya dini zao ?
8. Je waamini wake wana zifahamu historia ya hizi dini zao kwa kina ni wapi zimetoka, zipo na ziendako au wame baki kuwa waamini tu ?
9. Kwa nini hizi dini kuu tatu zili kua hatarishi kimatendo na bado mpaka sasa ni hatarishi kwa dini zengine zisizo shabihiana kiutendaji ?
10. Ipi nafasi ya mwafrika katika hizi dini ?
Mwenye swali la ziada una weza ongeza, karibuni wadau.
Mjadala wa leo kupitia maswali umejikita katika kufahamu,je upi msingi wa hizi dini zilizopo hapa duniani kwa sasa hasa hasa hizi dini kubwa tatu maarufu ukristo, uislam na uyahudi ni nini?. kutokana na wanayo ya hubiri na wanayo ya tenda.
Ukiifuatilia historia ya hizi dini[ ukristo, uislam na uyahudi] uchipuaji wake hapa duniani ume gubikwa na matukio mengi sana ya kutisha, kuhuzunisha na hata kukasirisha.
Hata ukuaji na usambazwaji wake duniani ulikua katika namna ya tofauti sana jambo linalo tilia shaka juu ya yale yanayo pambwa nje na yaliyo ndani ya hizo dini.
Kwa asilimia kubwa dini hizi katika historia zake za uanzishwaji na ukuaji zimetawaliwa na mauaji, chuki, visa , utumwa, vita na vifo vya watu wengi sana na hata vitabu vya hizi dini vinavyo itwa vitabu vitakatifu kwa hao wafuasi wake navyo vime hararisha baadhi ya hayo mambo niliyo orodhesha kwa sifa na utukufu wa huyo wanaye muabudu.
Hizi hapa ni baadhi ya vita zilizo mwaga maelfu na maelfu ya damu zilizo piganwa na hizi dini kubwa maarufu nizi zungumziazo huku zikivishwa kiremba cha “vita takatifu”sifa na utukufu kwa huyo wanaye muabudu:-
i, First crussade, 1096
ii, Second crussade, 1145-1149
iii, Third crussade,1189
iv, Fourth crussade, 1202-1204
v, Fifth crussade, 1213
vi, Sixth crussade, 1228
vii, Jerusalem massacre, 1099
viii, Children's crussade, 1212
ix, Spanish christian - Muslim war, 912- 928
x, Spanish christian- Muslim war, 977- 997
xi, Spanish christian- Muslim war, 1001- 1031
xii, Spanish christian- Muslim war, 1172- 1212
xiii, Spanish christian - Muslim war, 1230- 1248
Xiv, Christians- Donatists war, 317
xv, Christians- Estonians war, 1208- 1224
xvi, Battle of Badr, 624 AD
xvii, Battle in Uhud, 625
xviii, Battle in Mecca, 630
ix, Battle in Hunayn, 630
x, Battle in Khandaq, 627
xi, Jihad wars in west Africa, 19th century
Na vita zengine nyingi sana hizi dini zili husika katika umwagaji wa damu mkubwa.
Maisha ya hawa watu wenye hizi dini kubwa kwa asilimia kubwa yame tawaliwa na majungu, chuki, visasi na masengenyo kwa wale wasio wafuasi wao, ustaarabu kwa asilimia kubwa kwa jamii ya wana dini umekosekana haya unaweza ukaya shuhudia pia kupitia jaziba na michango yao humu majukwaani iliyo jaa chuki, hasira na lugha chafu.
Makundi ya kigaidi mengi yanayo sambaza hizi dini kwa njia ya upanga na mauaji ya kutisha kwa wale wasio fungamana nao, huu umekua utamaduni wa usambazaji wa hizi dini kwa njia iliyo ya mabavu ya kutisha toka kale.
Maswali:
1.Lengo hasa la uwepo wa hizi dini hapa duniani ni nini ? [ hasa hasa hizi dini kuu tatu ukristo,uislam na uyahudi ] na je mpaka sasa hizi dini zipo ndani ya lengo au zipo nje ya lengo ?
2. Kwa nini hizi dini zina imba wimbo wa amani huku zikiwa zimeshika mapanga?
3. Kwa nini hizi dini zina endekeza ubaguzi, chuki, masengenyo na uharibifu mkubwa kwa wale wasio wa amini ?
4. Je hizi dini zina abudu Mungu wa upendo au zina abudu Mungu wa Vita, chuki, visasi, ubaguzi na masengenyo ?
5. Je hizi dini zime shindwa kustaarabika ?
6. Kwa nini vita za umwagaji mkubwa wa damu zilitwa vita takatifu? Je zilikuwa ni maigizo ya huyo Mungu wao kuzi tekeleza kwa watu ?
7. Kwa nini usambazaji wa hizi dini uliji kita katika vita na utiaji wa hofu kuliko upendo na amani kama wasemavyo wao kupitia picha ya nje ya dini zao ?
8. Je waamini wake wana zifahamu historia ya hizi dini zao kwa kina ni wapi zimetoka, zipo na ziendako au wame baki kuwa waamini tu ?
9. Kwa nini hizi dini kuu tatu zili kua hatarishi kimatendo na bado mpaka sasa ni hatarishi kwa dini zengine zisizo shabihiana kiutendaji ?
10. Ipi nafasi ya mwafrika katika hizi dini ?
Mwenye swali la ziada una weza ongeza, karibuni wadau.