Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Kuhusu Bashiru Hana hizo nguvu mnazompa hapa, ndio tuliaminishwa Membe ana hizi nguvu au Lowassa ila mwisho wa siku wote tunafahamu yaliyotokea
Kabisa. Bashiru hana lolote. Akina Ndugai, Lukuvi, Kalemani et la wamejikuta kumbe hawakuwa na nguvu yoyote

CCM imeshika hatamu na Rais & mwenyekiti wa chama ana mamlaka makubwa mno yasiyohojika. Kwa mfumo wa sasa huwezi kumchallenge Rais na ukatoboa kirahisi.
 
Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.

Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.

Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.

Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.

Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.

Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.

Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.

Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.

Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.

Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.

Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.

Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.

Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
Mkuu, kwa mtazamo wangu naona hawaja mjibu ili wasimpe promo zaidi.
Pia kwenye siasa sio kila mtu hupenda kujibu, mfano Lowassa alikuwa anasemwa hajibu, pia nadhani hata Rais mstaafu Jakaya pia Hana tabia ya kujibu
 
Ndio mnvyojipa moyo?
Sijipi moyo nachangia kama wachangiavo wengine!!

Nasikia huyu jamaa alikuwa na tuhuma FULANI HIVI,je zile tuhuma ni za kweli!!?

Amepata wapi huo ujasiri wa kusema wazi wazi kabisa kuwa haridhishwi na serikali ya mteuzi!!?

Ya BASHIRU sio ya lowasa wala membe!!

Ya BASHIRU hayafananishwi kabisaaaa na makada wengine!!

Na amepata back up ya Warioba na Butiku ambao ni nyerere type!

Unafikiri hao wazee wamejibu KWA Bahati MBAYA!!?

Tena wawili kabisaaaa,KWA lowasa alikuwa kingunge pekee lakinj hakupata back up toka KWA wazee wa NYERERE kama hawa!!!

Mi sibezi andiko!

TUSUBIRI
 
Huo ubunge upo kikatiba mzee, kuondolewa kwake labda apewe Ubalozi wa nchi mana tayari ni Balozi! Afu Kakuru ni akili kubwa kulinganisha na zako na za Kigwangala. Mama anaupiga mwingi eeeeh
Katiba ipi? Sophia Simba alifukuzwa mchana kufikia jioni spika akamvua ubunge yaani hata room ya kwenda kortini hakupewa. So Samia anaweza mvua ubunge na hakuna kitu mtafanya yatakua yaleyale ya Membe.
 
Rais huyu anaweza kuvunja sheria na wote tukaishia kupiga kelele tuu bila kumfanya kitu

Anaweza kumtoa Ubunge aliompa (kumtengua kiaina) Bashiru na kusema atapangiwa Ubalozi au kazi nyingine… na asipangiwe akaishia kusugua bench huku akisoma magazeti. Na mkaishia kulialia tu kwamba Bashiru ni akili kubwa

You really believe Bashiru ana akili kubwa? Kichekesho
Hawa watu hata mm nawashangaa Sana, hivi huyu Bashiru ni Nani hasa? Na hizo nguvu na Usha wishi wake uko wapi?
Kitu gani alicho ifanyia nchi hii mpaka kuona Ana nguvu na ushawishi mkubwa?
 
Hata Membe hakujibiwa na JPM ni kawaida ya CCM kutumia watu kama Musiba kujibu mapigo so hawajaanza Leo.

Kuhusu Bashiru Hana hizo nguvu mnazompa hapa, ndio tuliaminishwa Membe ana hizi nguvu au Lowassa ila mwisho wa siku wote tunafahamu yaliyotokea.

Kwa katiba yetu Rais na Mwenyekiti wa CCM ndio alpha na omega hakuna wa kumchallenge!! Hata JPM ni kifo tu otherwise hakuna ambaye angemtishia kwa lolote!!
Ishu ya Membe ilikaa kimkakati Sana!

Ndio Maana alifunga goli dakika ya 89 (wenye kuelewa wanaelewa)

Hata lowasa ni mchezo ule ule ulifanywa na system KWA MALENGO maalum!!

Na hili la BASHIRU ni mbinu zile zile!

Tuzisubiri zitajibu tu!!!
 
Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ili mradi asivunje sheria. Haya wanaomsuta Bashiru waonyeshe sheria aliyovunja! Usimsute mtu kabla ya kutafakari.
Nahisi hicho kifungu kimekaa ki theoretically sio ki practically...

Watawala wanataka sifa sio kukosolewa na awapo tayari kufuata katiba kwa kuhisi au kujua hakuna atakaye wa fanya chochote..
 
Is
Hawa watu hata mm nawashangaa Sana, hivi huyu Bashiru ni Nani hasa? Na hizo nguvu na Usha wishi wake uko wapi?
Kitu gani alicho ifanyia nchi hii mpaka kuona Ana nguvu na ushawishi mkubwa?
Hatumzungumzii BASHIRU kama BASHIRU tunazungumza motive behind ya ujasiri wake ku chalenge Mwenyekiti wa CHAMA!!

Hiyo ni michezo ya wakubwa,yaani system zinapigana KWA maslahi fulani BINAFSI au Taifa!

TUSUBIRI
 
Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ili mradi asivunje sheria. Haya wanaomsuta Bashiru waonyeshe sheria aliyovunja! Usimsute mtu kabla ya kutafakari.
Katiba inasema ! Sawa ngoja tuone !!
 
Unachokifanya hapa ni sawa na kupeleka injili kwenye kilabu cha pombe za kienyeji. Swali ni sahihi, lakini hadhira (Ummah) uliyoipa hili swali siyo sahihi........

Nimesoma majibu machache tu na kutambua kwamba watanzania wengi mno, ni watu wenye fikra zilizochini ya kiwango (Below Average) ilhali tunajikuta wajuaji kupita kiasi......

Tanzania imefika sehemu mbaya mno, kiasi kwamba wale watu wenye akili na wanaofahamu mambo huwezi kuwakuta wanaongea hadharani wala kuchangia chochote kile. Ila wale wasio na ufahamu wanaongea sana.....

Yote tisa Tanzania iko sehemu mbaya mno. Katika ngazi ya kitaifa na kikanda. Siku zijazo watanzania tutatia akili, we subiri........
Hapo mwishoni nimepaelewa sana juhudi zifanyike kuliokoa Taifa lakini mi naona ndicho kinachofanywa na Mama.
Reconciliation(Maridhiano)
Resilience(Ustahamilivu)
Reforms(Mabadiliko)
Rebuild (Kujijenga upya)
Tuamini katika hayo kwanza tutafika tu Mama tumuunge mkono na ashauliwe vizuri tu,uzuri anashaulika.
 
Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.

Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.

Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.

Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.

Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.

Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.

Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.

Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.

Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.

Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.

Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.

Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.

Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
Ni kweli kunaweza kuwa na kundi la power mongers nyuma ya Bashiru.
Lakini Bashiru mwenyewe ni expendable pawn.

Hana ushawishi wa kuongea kwa imani ya chama, katumwa yule.

Mwalimu Nyerere aliwahi kutufundisha kumtazama mtu usoni na ku assess kile anav
choongea kama kinatoka moyoni.

Bashiru hana kitu kabisa, anachoongea ni kile alichotumwa.

Wakati wa Magufuli akiwa Katibu Mkuu wa chama hakuwahi kukemea hata siku moja maovu ya Mwenyekiti wake wa Chama, iweje sasa, anapata ujasiri wapi kumkemea Mwenyekiti kiaina.

Si muda mrefu atavunwa alivyopandwa!
 
Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.

Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.

Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.

Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.

Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.

Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.

Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.

Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.

Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.

Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.

Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.

Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.

Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
We nae mganga njaa tu. Huna lolote.

Usjikweze buree na kumkweza huyo Bashiru ambaye alilewa madaraka wakati wa Magufuli akasahau kazi yake anayoiweza vizuri ya kupinga kila kitu. Ndiyo, Bashiru ni mwanaharakati wa kupinga kila kitu...alitulizwa na Magu kwa kupewa madaraka. Akalewa madaraka na kuonyesha rangi yake halisi. Akawa kinara wa kutumia rasilmali za umma kununua wapinzani!
 
Is
Hatumzungumzii BASHIRU kama BASHIRU tunazungumza motive behind ya ujasiri wake ku chalenge Mwenyekiti wa CHAMA!!

Hiyo ni michezo ya wakubwa,yaani system zinapigana KWA maslahi fulani BINAFSI au Taifa!

TUSUBIRI
Wanasemaga If you stand for a reason be prepared to stand alone like a tree! And when you fall down fall like a seed which grows back to fight again !! Ngoja tuone !!
 
Ni kweli kunaweza kuwa na kundi la power mongers nyuma ya Bashiru.
Lakini Bashiru mwenyewe ni expendable pawn.

Hana ushawishi wa kuongea kwa imani ya chama, katumwa yule.

Mwalimu Nyerere aliwahi kutufundisha kumtazama mtu usoni na ku assess kile anav
choongea kama kinatoka moyoni.

Bashiru hana kitu kabisa, anachoongea ni kile alichotumwa.

Wakati wa Magufuli akiwa Katibu Mkuu wa chama hakuwahi kukemea hata siku moja maovu ya Mwenyekiti wake wa Chama, iweje sasa, anapata ujasiri wapi kumkemea Mwenyekiti kiaina.

Si muda mrefu atavunwa alivyopandwa!
Umenena vyema.

Bashiru na kundi lake wanasumbuliwa kuachwa kwenye mfumo...wamewekwa pembeni.. basi ! Hana lolote.

Hebu kumbuka,wakati wa serikali yao,walivuruga kabisa masoko ya mazao yote. Pamba iriporomoka bei.Korosho pia. Kilochotokea kwenye korosho na vituko vilivyotokea kila mwenye akili anajua. Tumbaku,mbaazi,mchele na mahindi,vyote viliporomoka Bei na kukosa masoko. Kule Kagera,ambako Bashiru anatoka,kahawa iliporomoka bei mpaka kufikia sawa na soda...shilingi 700! Bashiru hakusema lolote wala kuchukua hatua!
 
Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.

Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.

Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.

Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.

Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.

Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.

Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.

Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.

Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.

Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.

Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.

Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.

Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
Waswahili wanasemaga ukiona giza limekuwa Nene ujue karibu kunakuchwa !! Hata Hivyo Freedom of expression sio kosa katika hii Nchi !!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwanza hao vijana wameisha Unda na clikar Yao na mkakati wa njinsi ya kufikia lengo Moja ya iyo mikakati ni

1.kugawana wizara za kimkakati kama

Keylimooo, habari, na nishaat

2 .waaazri wa habr ye kapewa jukumu la kununua watoa habari wooote hasa wamiliki na wahariri. Kazi iyo imekamilika kama unamacho utakuwa umeona

3.kuwamiliki viongz katika DNI iyo kazi imebaki kidogo kukamilika

4.E kulu ilikuwa na kazi ya kubagain na hao waliokuwa wapnzn kazi iyo tyr imeisha

Kama hatutashtuka itakuwa too late
Akina 2ndu kwa Sasa Kila wakiongea ni chato tu maana makubaliano Yao ni kumwacha b b Yao afanye atakavyo
Duh. !!
 
Unachokifanya hapa ni sawa na kupeleka injili kwenye kilabu cha pombe za kienyeji. Swali ni sahihi, lakini hadhira (Ummah) uliyoipa hili swali siyo sahihi........

Nimesoma majibu machache tu na kutambua kwamba watanzania wengi mno, ni watu wenye fikra zilizochini ya kiwango (Below Average) ilhali tunajikuta wajuaji kupita kiasi......

Tanzania imefika sehemu mbaya mno, kiasi kwamba wale watu wenye akili na wanaofahamu mambo huwezi kuwakuta wanaongea hadharani wala kuchangia chochote kile. Ila wale wasio na ufahamu wanaongea sana.....

Yote tisa Tanzania iko sehemu mbaya mno. Katika ngazi ya kitaifa na kikanda. Siku zijazo watanzania tutatia akili, we subiri........

Uwezo wa jumla wa kitaifa upo chini mno, jambo linalotisha sana...Sijui tutafanyaje ili taifa letu liwe na critical thinking
 
Unachokifanya hapa ni sawa na kupeleka injili kwenye kilabu cha pombe za kienyeji. Swali ni sahihi, lakini hadhira (Ummah) uliyoipa hili swali siyo sahihi........

Nimesoma majibu machache tu na kutambua kwamba watanzania wengi mno, ni watu wenye fikra zilizochini ya kiwango (Below Average) ilhali tunajikuta wajuaji kupita kiasi......

Tanzania imefika sehemu mbaya mno, kiasi kwamba wale watu wenye akili na wanaofahamu mambo huwezi kuwakuta wanaongea hadharani wala kuchangia chochote kile. Ila wale wasio na ufahamu wanaongea sana.....

Yote tisa Tanzania iko sehemu mbaya mno. Katika ngazi ya kitaifa na kikanda. Siku zijazo watanzania tutatia akili, we subiri........
Usipoweza kuzifungua codes utaona maruweruwe siku zote. !! Unaposoma comments try to read between the lines. !!
 
Back
Top Bottom