Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Bashiru hana hiyo power mnayotaka kumpa.

CCM wote ni wachumia tumbo na kwa nguvu alizopewa Rais na mwenyekiti wa CCM, akikohoa tu wanayumba wote na kutenda anachoagiza

So, wakitaka kudeal na Bashiru hatochukua hata masaa 24. Kimsingi Bashiru ndio keshapotea hivyo na huo ubunge wa mchongo anaweza kupokwa muda wowote na aliyemteua & kumtengua asiulizwe chochote
Anachokiongea Bashiru ni cha ukweli ila naye aliongoza watu tukawa tunasifu kwa pamoja, hivyo anapokemea watu kumsifia Rais anakosea sana.

Immediately solution si ajabu akapewa nchi huko akawe balozi ili kumuondoa kwenye active politics.
 
Kwanza hao vijana wameisha Unda na clikar Yao na mkakati wa njinsi ya kufikia lengo Moja ya iyo mikakati ni

1.kugawana wizara za kimkakati kama

Keylimooo, habari, na nishaat

2 .waaazri wa habr ye kapewa jukumu la kununua watoa habari wooote hasa wamiliki na wahariri. Kazi iyo imekamilika kama unamacho utakuwa umeona

3.kuwamiliki viongz katika DNI iyo kazi imebaki kidogo kukamilika

4.E kulu ilikuwa na kazi ya kubagain na hao waliokuwa wapnzn kazi iyo tyr imeisha

Kama hatutashtuka itakuwa too late
Akina 2ndu kwa Sasa Kila wakiongea ni chato tu maana makubaliano Yao ni kumwacha b b Yao afanye atakavyo
But there is God in heaven who sees all....Hakuna aliyekuwa na nguvu kuliko Pharaoh enzi za Egypt kama super power....Hakuna uovu unaoweza kuushinda wema, ni ushauri tu; mie nimekaa pale!
 
Bashiru ana stress kama mwenzie Polepole.

Dawa yake ni kumpa Ubalozi wa Afghanistan
Bora tufungue Ubalozi Kiev, halafu tumpe atuwakilishe. Kama ataona mbali tufungue Ubalozi mdogo Goma, hapo anafika nyumbani hata kwa baiskeli tu, anaenda kula MATOKE ,then anarudi kituo cha kazi.
 
Rais huyu anaweza kuvunja sheria na wote tukaishia kupiga kelele tuu bila kumfanya kitu

Anaweza kumtoa Ubunge aliompa (kumtengua kiaina) Bashiru na kusema atapangiwa Ubalozi au kazi nyingine… na asipangiwe akaishia kusugua bench huku akisoma magazeti. Na mkaishia kulialia tu kwamba Bashiru ni akili kubwa

You really believe Bashiru ana akili kubwa? Kichekesho
bashiru sio level yako na hao wapiga domo wenzio.funga bakuli hilo.
 
Cha kuchekesha Bashiru atagombea Ubunge 2025 kupitia chama Cha upinzani afu naye ataanza kulia Lia eti tume sio huru.

Huyu jamaa apigwe virungu mpaka akili zirudi, huwa wanajisahau sana wakipata madaraka.
bashiru hata mama ako akimtoa hapo anaenda kufundisha.Hanaga makuu yule mjamaa wa nyerere
 
Ni kweli kunaweza kuwa na kundi la power mongers nyuma ya Bashiru.
Lakini Bashiru mwenyewe ni expendable pawn.

Hana ushawishi wa kuongea kwa imani ya chama, katumwa yule.

Mwalimu Nyerere aliwahi kutufundisha kumtazama mtu usoni na ku assess kile anav
choongea kama kinatoka moyoni.

Bashiru hana kitu kabisa, anachoongea ni kile alichotumwa.

Wakati wa Magufuli akiwa Katibu Mkuu wa chama hakuwahi kukemea hata siku moja maovu ya Mwenyekiti wake wa Chama, iweje sasa, anapata ujasiri wapi kumkemea Mwenyekiti kiaina.

Si muda mrefu atavunwa alivyopandwa!
sasa taifa limekuwa shamba la bibi kuliko wakati wa magufuli.Nchi inaongozwa kikoo!
 
Na
Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.

Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.

Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.

Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.

Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.

Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.

Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.

Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.

Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.

Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.

Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.

Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.

Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
Nani yuko nyuma yako.

Dr Bashiru msomi wa kiwango cha PhD tena political science tena aliyeshika nafasi za juu kabisa katika taifa hili asiweze kujitegemea kimaoni! Very shame to you.
 
Huo ubunge upo kikatiba mzee, kuondolewa kwake labda apewe Ubalozi wa nchi mana tayari ni Balozi! Afu Kakuru ni akili kubwa kulinganisha na zako na za Kigwangala. Mama anaupiga mwingi eeeeh
Anaweza kupewa hata u DC, after a month or two akatumbuliwa vyote. Ukuu wa wilaya na Ubalozi.
Wakitaka lao hawashindwi.
Mwenda zake si alimtumbua Kidata mpaka hadhi ya UBALOZI.
 
Hapo mwishoni nimepaelewa sana juhudi zifanyike kuliokoa Taifa lakini mi naona ndicho kinachofanywa na Mama.
Reconciliation(Maridhiano)
Resilience(Ustahamilivu)
Reforms(Mabadiliko)
Rebuild (Kujijenga upya)
Tuamini katika hayo kwanza tutafika tu Mama tumuunge mkono na ashauliwe vizuri tu,uzuri anashaulika.
Ww ndio walewale walamba asali,kitu gani mama amekifanya cha maana nchi inazidi kudidimia,inshu ya umeme ina maana mama haoni,watu wanamlalamikia makamba lakn mama amekaa kimya
 
Ww ndio walewale walamba asali,kitu gani mama amekifanya cha maana nchi inazidi kudidimia,inshu ya umeme ina maana mama haoni,watu wanamlalamikia makamba lakn mama amekaa kimya
Wewe sijui ni kipofu?

Yote aliyofanya mama huyaoni?
Karudisha uhuru wa vyombo vya habari.
Miradi yote ya kimkati inaendelea kujengwa Kwa Kasi kubwa

Elimu Bure mpka F6.

Ajira mpya.

Kupandisha madaraja watumishi
Makusanyo ya TRA kupaa bila uporaji wa kutumia task force

Ujenzi wamadarasa katika shule za msingi na sekondari na shule mpya bila kuchangisha wananchi.

Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali pamoja na ununuzi was vifaa tiba.

Kuongezeka kwa Bei ya mazao yote ya wakulika na masoko ya uhakika.

Orodha ni ndefu mno! Nimechoka kuandika.....
 
Ww ndio walewale walamba asali,kitu gani mama amekifanya cha maana nchi inazidi kudidimia,inshu ya umeme ina maana mama haoni,watu wanamlalamikia makamba lakn mama amekaa kimya
Kuhusu umeme,mvua za mwaka Jana hazikuwa za kutosha hivyo mabwawa hayakujaa sawasawa. Na hata sasa,mvua zimechelewa na zonanyesha chini ya kiwango,hivyo mabwawa hayana maji. Unataka Raisi Samia afanye nini? Alete mvua?

Sometimes muwage munaelewa siyo kulalamika TU!
 
Hana ushawishi wowote, ni hiyo nguvu ya magufuli aliyompa. Hakuna mwenye ushawishi kwa watanzania (mfano kama Nyerere alivyokuwa) ndani ya CCM. Ni mabavu ya polisi, tume ya uchaguzi and the like vilikuwa vinawapa akina Bashiru nguvu na visibility kwa watanzania. I can dare say Mbowe/Lisu wana ushawishi maana hawana side force kama za CCM ya kuwafanya waonekane, ni matendo yao, kauli zao, vyama vyao na sera zao???? (hapa sina uhakika kama watanzania wanazijua sera za Chadema in details))
Hii tunaita " go go go!!! I'm covering you" Ha hahahaha!
 
Anachokiongea Bashiru ni cha ukweli ila naye aliongoza watu tukawa tunasifu kwa pamoja, hivyo anapokemea watu kumsifia Rais anakosea sana.

Immediately solution si ajabu akapewa nchi huko akawe balozi ili kumuondoa kwenye active politics.
Kuna utofauti wa kupongeza, kusifu na kushukuru!!!
 
Hii nchi kwasasa haina uongozi wa uhakika chochote kinaweza kutokea.
 
Back
Top Bottom