Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Bado traces za Umagufuli (kuua, kuteka, kubambikia kesi, kupoteza watu and the like ) bado vipo. Huwezi kujiaminisha kurudi now! Samia haaminiki kama mnavyotaka mtu aliyepigwa risasi 40 aamini!
Hapo ndio naposhindwa kuelewa sababu ya kutaka kuuliwa huyo Lissu, kama mnasema Magufuli alitaka kumuuwa Lissu kwa sababu ya kumkosoa tu sasa Magufuli hayupo na hao watu waliyobaki hawajashika madaraka kama mwanzo, sasa hapo hao watu watake kumuuwa Lissu ili iweje na hata wakifanya hivyo wana uhakika gani wa kutofuatiliwa na kukamatwa?
 
Umeandika kitu kinachofirisha sana...

Lakini hebu basi fanya uhariri kidogo ktk baadhi ya maeneo na sentensi katika andiko lako ili kurekebisha makosa mengi ya kisarufi na kiuandishi kiasi cha msomaji kukosa radha ya kulisoma kwa raha....

Unatulazimisha wasomaji wako kutumia muda na nguvu nyingi kupata maana ya ulichokusudia kwenye nyingi ya sentensi zako na maneno mengi uliyoyakosea kuyaandika sawasawa....

Likely huendani na kasi ya Google Keyboard ⌨️⌨️⌨️ unayotumia kuandikia kwenye simu au ipad yako..

Thanx
 
Wewe sijui ni kipofu?

Yote aliyofanya mama huyaoni?
Karudisha uhuru wa vyombo vya habari.
Miradi yote ya kimkati inaendelea kujengwa Kwa Kasi kubwa

Elimu Bure mpka F6.

Ajira mpya.

Kupandisha madaraja watumishi
Makusanyo ya TRA kupaa bila uporaji wa kutumia task force

Ujenzi wamadarasa katika shule za msingi na sekondari na shule mpya bila kuchangisha wananchi.

Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali pamoja na ununuzi was vifaa tiba.

Kuongezeka kwa Bei ya mazao yote ya wakulika na masoko ya uhakika.

Orodha ni ndefu mno! Nimechoka kuandika.....
Kwani alitakiwa kufanya nini kinyume na hayo?
 
Unachokifanya hapa ni sawa na kupeleka injili kwenye kilabu cha pombe za kienyeji. Swali ni sahihi, lakini hadhira (Ummah) uliyoipa hili swali siyo sahihi........

Nimesoma majibu machache tu na kutambua kwamba watanzania wengi mno, ni watu wenye fikra zilizochini ya kiwango (Below Average) ilhali tunajikuta wajuaji kupita kiasi......

Tanzania imefika sehemu mbaya mno, kiasi kwamba wale watu wenye akili na wanaofahamu mambo huwezi kuwakuta wanaongea hadharani wala kuchangia chochote kile. Ila wale wasio na ufahamu wanaongea sana.....

Yote tisa Tanzania iko sehemu mbaya mno. Katika ngazi ya kitaifa na kikanda. Siku zijazo watanzania tutatia akili, we subiri........
Mtu kama Retired unategemea akili atoe wapi?
 
CCM ni nyumba ya urithi.Wajukuu na watoto wa mrehemu wana haki ya kuishi humo.Hao wanao andaa watoto wao no suala la muda tu watakuja kushangazwa.Nyumba ya urithi haina mwenyewe.
 
Back
Top Bottom