Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

Bado traces za Umagufuli (kuua, kuteka, kubambikia kesi, kupoteza watu and the like ) bado vipo. Huwezi kujiaminisha kurudi now! Samia haaminiki kama mnavyotaka mtu aliyepigwa risasi 40 aamini!
Hapo ndio naposhindwa kuelewa sababu ya kutaka kuuliwa huyo Lissu, kama mnasema Magufuli alitaka kumuuwa Lissu kwa sababu ya kumkosoa tu sasa Magufuli hayupo na hao watu waliyobaki hawajashika madaraka kama mwanzo, sasa hapo hao watu watake kumuuwa Lissu ili iweje na hata wakifanya hivyo wana uhakika gani wa kutofuatiliwa na kukamatwa?
 
Umeandika kitu kinachofirisha sana...

Lakini hebu basi fanya uhariri kidogo ktk baadhi ya maeneo na sentensi katika andiko lako ili kurekebisha makosa mengi ya kisarufi na kiuandishi kiasi cha msomaji kukosa radha ya kulisoma kwa raha....

Unatulazimisha wasomaji wako kutumia muda na nguvu nyingi kupata maana ya ulichokusudia kwenye nyingi ya sentensi zako na maneno mengi uliyoyakosea kuyaandika sawasawa....

Likely huendani na kasi ya Google Keyboard ⌨️⌨️⌨️ unayotumia kuandikia kwenye simu au ipad yako..

Thanx
 
Kwani alitakiwa kufanya nini kinyume na hayo?
 
Mtu kama Retired unategemea akili atoe wapi?
 
CCM ni nyumba ya urithi.Wajukuu na watoto wa mrehemu wana haki ya kuishi humo.Hao wanao andaa watoto wao no suala la muda tu watakuja kushangazwa.Nyumba ya urithi haina mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…