Narudia, kipimo cha umakini ni umakini, hakiwezi kuwa mwanazuoni.Unapojaribu kutenganisha mwanazuoni na mwanasiasa nakushangaa, kwa sababu kuna watu ni wanazuoni wanasiasa. Woodrow Wilson alikuwa Profesa Princeton halafu akawa rais wa US, sasa huyu utamuita mwanazuoni au mwanasiasa ?
Kipimo cha umakini ni umakini, fine enough, umakini ambao wewe mwenyewe umeshindwa na
umekiri kushindwa kuu-demonstrate.
Mwanasiasa na mwanazuoni ipo tofauti KUBWa.Sababu kwamba mtu alikuwa mwanazuoni
kisha kuwa mwanasiasa haina maana ana wajibu na majukumu yaleyale, maana kule
kwene uanazuoni inabidi a-demonstrate vitu fulani mbele ya wenziwe ili kuendeleza
libeneke la uanazuoni wake.Kila moja lina requirements zake. Kwanza nimeweka scenario
2 hapa, moja kwamba mwanazuoni anawasilisha kazi yake inakataliwa na pili mwanasiasa Slaa
anajibu hoja ya say,Malaria Sugu JF. Wewe ukadismiss scenario ya kwanza kwamba sio KIPIMO ila ya pili ni kipimo..narejea tena kusema huu ni upuuzi.
Hoja ya kwanza hapa ni kwamba kama kuandika JF ni kipimo cha umakini,
kwanini mwanazuoni kuandikia kazi na kuipeleka kwenye chapisho linalohaririwa isiwe kipimo.
pili, furthermore nimesema hapa JF sio mahala pa kusema kwamba Slaa alitakiwa aandike
kwa standards za article ya gazeti au kitabu..this is a damn forums..ni sawa kuandika
vyovyote ili mradi kinasomeka na kueleweka. Ukitaka kumpima kwenye maandishi JF sio mahali pake.
Nimesema sijasema kwamba nimesema sijasema, don't misquote me.
It doesn't matter, utasema tu.
The doctor was hardly readable na kuna watu hata hawajasoma kwa kuona hakuna mtu anayeweza kuandika kwa format mbaya vile akawa na mchango wa maana. At least hawakupata kutaka kutapika kwa kukutana na "onus of proove" na mambo ya sentensi kuanza bila capitalization. Readability gani unayoongelea wewe hiyo ambayo haijali paragraphs wala consistency ?
Kungekuwa hakuna readability ni wazi hakuna mtu angeuliza content, watu wangeuliza awasilishe upya post yake. Suala kwamba umeweza kuona hiyo 'onus of proove', ni wazi u were able to read the msg. Imeumiza macho lakini it was readable.
Wengine tutaona sio tu huwezi urais, tutaona hata shule hujaenda . Swala hapa si kuandika tu, kuna swala zima la presentation. Slaa kachemka kujipresent, huwezi kubisha. Na hizi kazi za circus show presentation ni muhimu kweli, you should know. Some would even go as far as saying the whole circus is nothing but presentation, sasa kama Slaa anashindwa presentation hapa JF utamtegemea aweze viwanja vikubwa ?
Kama nilivosema, JF sio sehemu ya kupimia umahiri wa makatibu muhtasi ..wewe unatafuta secretary wakati wenzio wanasaka Rais, sasa how do u explain wale ambao hawapo JF kama criterion ni ukatibu muhtasi JF? its getting really funny.
Nishakwambia hiyo ni typo, nishakwambia mimi niko prone kufanya makosa, nishakwambia standard ya kumwekea kafuku kama mie nisietaka hata ofisi ya katibu kata ni tofauti na ya Dr. Slaa. Lakini sikukosea kusema "onus of proove".
Kusaka urais manake unatakiwa kuwa malaika asiyeandika 'onus of proove', ila wengine ni ruksa sivo?
Na hiyo ya kujirefer kwa wingi nakuonyesha kwamba mimi niko kama army, nakuonyesha umuhimu wangu.
Hata ukisoma Quran ilivyoanza kuandikwa mungu ana ji refer in the plural. I represent that level of importance.
But I guess it is like Japanese Haiku to you.
Might be flawed self-importance or grandeur. Sadly i don't know how many jayefers really cares.