Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hebu tulikamilishe kwanza hili la nauli aisee. Tiketi tunakatia wapi?Jamaa anataka siku ya ufufuo akafufukie juani[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tulikamilishe kwanza hili la nauli aisee. Tiketi tunakatia wapi?Jamaa anataka siku ya ufufuo akafufukie juani[emoji1787]
Nadhani kabla hayo maji hayajaligusa jua yatageuka mvuke fasta sanaNINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI[emoji782]
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua [emoji3508] halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Unaweza ongeza code kidogo kua jua lipo masafa ya mbali je, mvuke utaelekea wapi? Ni juu zaidi au chini au utasambaa tu.Nadhani kabla hayo maji hayajaligusa jua yatageuka mvuke fasta sana
Its all about density. Chenye density ndogo kitaelea juu ya chenye density kubwa.Unaweza ongeza code kidogo kua jua lipo masafa ya mbali je, mvuke utaelekea wapi? Ni juu zaidi au chini au utasambaa tu.
Ila sema hili ni somo kubwa lisikupe taabu sana.
Kabla ya kuwagia maji jua hebu jiulize hayo maji utayamwaga ukiwa uko wapi ww mmwagaji? Na kama mdau alivyosema hapo juu hayo maji hata ukifanikiwa kuyamwaga hayatafika kwenye uso wa jua maana yata evaporate.NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua ☀️ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Nimecheka sana aiseeInawezekana zamani jua halikuwa kubwa kiasi hiki pengine liliongezeka ukubwa kwa hii michezo ya kulimwagia maji
Msamehe bure, tatizo la ajira ni changamoto kwa vijana.Safari tutaianza lini? Ila itabidi tusafiri usiku kucha, tufike alfajiri kabla jua halijawa kali, au una maoni gani mwana anga mwenzangu Kasomi
HahahaSometimes tunahitaji thread za namna hii, tuache kuwa serious kila siku
Kabla ya kuwagia maji jua hebu jiulize hayo maji utayamwaga ukiwa uko wapi ww mmwagaji? Na kama mdau alivyosema hapo juu hayo maji hata ukifanikiwa kuyamwaga hayatafika kwenye uso wa jua maana yata evaporate.
Joto la jua ni 5,505⁰C. Maji yanakuwa mvuke kuanzia 100⁰C