Je, endapo Jua likimwagiwa Maji nini kitatokea?

Je, endapo Jua likimwagiwa Maji nini kitatokea?

NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI[emoji782]

Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;

Kitakachotokea ni kwamba jua [emoji3508] halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.

Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.

Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Nadhani kabla hayo maji hayajaligusa jua yatageuka mvuke fasta sana
 
Nadhani kabla hayo maji hayajaligusa jua yatageuka mvuke fasta sana
Unaweza ongeza code kidogo kua jua lipo masafa ya mbali je, mvuke utaelekea wapi? Ni juu zaidi au chini au utasambaa tu.

Ila sema hili ni somo kubwa lisikupe taabu sana.
 
Anza safari haraka sana
hospiali%20ya%20milembe.jpg
 
Unaweza ongeza code kidogo kua jua lipo masafa ya mbali je, mvuke utaelekea wapi? Ni juu zaidi au chini au utasambaa tu.

Ila sema hili ni somo kubwa lisikupe taabu sana.
Its all about density. Chenye density ndogo kitaelea juu ya chenye density kubwa.
 
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔

Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;

Kitakachotokea ni kwamba jua ☀️ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.

Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.

Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Kabla ya kuwagia maji jua hebu jiulize hayo maji utayamwaga ukiwa uko wapi ww mmwagaji? Na kama mdau alivyosema hapo juu hayo maji hata ukifanikiwa kuyamwaga hayatafika kwenye uso wa jua maana yata evaporate.

Joto la jua ni 5,505⁰C. Maji yanakuwa mvuke kuanzia 100⁰C
 
Sasa kama joto ni 1,000,000°C kabla ya kulifikia jua lenyewe,hayo maji yatapenya wapi ili kulifikia jua?
 
Aisee
Kabla ya kuwagia maji jua hebu jiulize hayo maji utayamwaga ukiwa uko wapi ww mmwagaji? Na kama mdau alivyosema hapo juu hayo maji hata ukifanikiwa kuyamwaga hayatafika kwenye uso wa jua maana yata evaporate.

Joto la jua ni 5,505⁰C. Maji yanakuwa mvuke kuanzia 100⁰C
 
Back
Top Bottom