Kale kagari hua kakiwashwa asubuhi kanatetemeka balaaa mpk mwili unausikia unawashaUnaendesha Passo safari ndefu una moyo sana
Nkurekebishe kidogo sio kwamba engine inazunguka sana naeza nikawa na 20 to 30kph na mshale ukawa bado uko kwenye kati kati ya moja na mbili rpm....sasa hapo sio kwmba engine inazunguka sana ni kwamba kiasi hicho hicho cha rpm kama ungekuwa na gia kubwa basi ungekuwa somewhere 70kph or 80 kabisa depending na ratio za gari husika
nisome vizuri uelewe....usiwe unakurupuka soma uelewe nimeandika kwa gia ya mwisho....gear zile ni fixed kama no 3 at 3000rpm speed ikawa mfano 70kph basi hadi unaingia kaburini kwa gari hilo haibadiliki ....ndo hivo hivo ....
60kph at 1500rpm means at 3000rpm speed itakuwa 120 hapo naona ipo na gia ya mwsho hata premio at 3000rpm gia ya mwsho unakuwa na 120kph kina brevis naona ni 125 kama sio 130...
Lita ngapi hizo?!
Una hela sana, akina Sisi lazima tupige hesabu na ndio maana tunaendesha kwa adabu.Wee baba taibali mie hesabu za magazijuto zilinishinda, sijawahi kufatilia hesabu ya lita kwa km, Ila huwa nafatilia nimeweka mafuta ya shilingi ngapi na yanaisha kwa muda gani basi. Hata umbali nimetumia km ngapi sifatiliagi sana...
Mabungo yangu hapo?
Huoni hapo imestuck kwasababu ya cruise control?! Hivi engine za gari ndio ziko hivyo kwasababu 1500rpm inanipa 60mph, 3000rpm itanipa 120kph?!! Ngoja nitembee usiku nitaangalia 120kph huwa naipata kwenye revs ngapi, ila 3000revs sounds too high60kph at 1500rpm means at 3000rpm speed itakuwa 120 hapo naona ipo na gia ya mwsho hata premio at 3000rpm gia ya mwsho unakuwa na 120kph kina brevis naona ni 125 kama sio 130...
Je inaonesha hivo kwa muda gani au sekunde kadhaa tu.....??
Una hela sana, akina Sisi lazima tupige hesabu na ndio maana tunaendesha kwa adabu.
Kwa cc1500 hata usipokuwa makini humalizi labda uwe mzurulaji.Wee double R hizi kazi za mikataba hazina adabu, siku mkataba unaambiwa basi kama hukuwa na akili ya kutenga fungu la kuendeleza maisha iwapo maji yatakata basi presha lazima ikuandame.
Mafuta nnayo tumia napewa na ofisi hivyo huwa nakuwa makini yasiishe kabla mwezi haujaisha na saa ingine mwezi unafika bado yanakuwa hayajaisha...
Kwa cc1500 hata usipokuwa makini humalizi labda uwe mzurulaji.
Wababe wapi ushamba tu, mzungu mwenyew kahama huko we mswahili et gari za wababeMkuu saizi watu wengi wamejifunza gari automatic na wanapendelea hizo.
Na gari nyingi ni auto, Manual zipo kwa ajili ya wababe wachache.
Manual cars ni magari special yanatengenezwa kwa ajili ya serikali au miradi.Mkuu saizi watu wengi wamejifunza gari automatic na wanapendelea hizo.
Na gari nyingi ni auto, Manual zipo kwa ajili ya wababe wachache.
Raha sana mkuu kubadili gear mwenyewe tena kama unaipatia rpm yake kuna ile feeling unaiskilizia yaani kitu smoothWababe wapi ushamba tu, mzungu mwenyew kahama huko we mswahili et gari za wababe
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee...[emoji28][emoji28]Kale kagari hua kakiwashwa asubuhi kanatetemeka balaaa mpk mwili unausikia unawasha
dodge