RRONDO na Mshana Jr.
Napenda nipate ushauri wenu juu ya gari moja hivi iliyokuwa assembled Afrika Kusini mpaka mwisho wa mwaka 2009 inaitwa Volkswagen CITI Chico 1.4i. Huwa navutiwa sana na ule muonekano wake old school ride and simple.
Mwaka jana nina jamaa yangu Mjerumani anayeishi Arusha alitaka kuniuzia ila nafsi ilisita kuhofia changamoto ya ufundi na vipuri, japokua jamaa alinishawishi sana kuwa kapo cheap kuka-maintain. Just 14 km/lt
Napenda nipate ushauri wenu juu ya gari moja hivi iliyokuwa assembled Afrika Kusini mpaka mwisho wa mwaka 2009 inaitwa Volkswagen CITI Chico 1.4i. Huwa navutiwa sana na ule muonekano wake old school ride and simple.
Mwaka jana nina jamaa yangu Mjerumani anayeishi Arusha alitaka kuniuzia ila nafsi ilisita kuhofia changamoto ya ufundi na vipuri, japokua jamaa alinishawishi sana kuwa kapo cheap kuka-maintain. Just 14 km/lt