Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

Nakubaliana na mleta uzi, Mimi nina cc 2360 huwa napata hadi km 17 kwenye speed ya 80. Kwanza nina accelerate taratibu kisha nina maintain
+1

Hiyo ndio siri watu wengi hawajui, inatakiwa u assume kuna yai bichi Kati ya mguu na acc pedal, then ukanyage yai liisukume pedal bila yai kuvunjika, pressure utakayotumia kukanyanga yai hapo ndio pressure sahihi kuendeshea kama unataka fuel economy.

Ukisha kuwa heavy footed, hata kama utamaintain green band Rev, bado hutaweza kupata fuel figures nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
+1

Hiyo ndio siri watu wengi hawajui, inatakiwa u assume kuna yai bichi Kati ya mguu na acc pedal, then ukanyage yai liisukume pedal bila yai kuvunjika, pressure utakayotumia kukanyanga yai hapo ndio pressure sahihi kuendeshea kama unataka fuel economy.

Ukisha kuwa heavy footed, hata kama utamaintain green band Rev, bado hutaweza kupata fuel figures nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Well noted

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha mkubwa, kuinjoi ni mpaka 140-160kph? Mimi nikiamua hivyo najua kabisa leo namaliza wese sijali natembea balaa. Hii ya rev 1500 huwa naifanya usiku nikiwa natoka kwenye mihangaiko sina haraka naenda home. Hata asubuhi huwa sivuki 60kph hapa mjini
isitoshe watoto hawajakua[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
black sniper,
Vijana wengi wa mjini hawajui kuendesha manual transmission.
Hilo suala la kuruka gear kutoka namba 3 Hadi tano ni usiku wa Giza kwao
Mbona mnawadisi vijana wa leo, magari yetu ya zamani ya gear yashapitwa na wakati ukiwa unaendesha Gari ya gear ukakutana na foleni ya kuanzia buguruni mpaka mnazi mmoja unakuwa una tofauti na mtu aliyetembea kwa miguu.

Kanyaga clutch weka gear, Kanyaga clutch weka brakes. Izo shida zote tuwaachie watu wa daladala hahaha hah ingawa tumetoka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mnawadisi vijana wa leo, magari yetu ya zamani ya gear yashapitwa na wakati ukiwa unaendesha Gari ya gear ukakutana na foleni ya kuanzia buguruni mpaka mnazi mmoja unakuwa una tofauti na mtu aliyetembea kwa miguu. Kanyaga clutch weka gear, Kanyaga clutch weka brakes. Izo shida zote tuwaachie watu wa daladala hahaha hah ingawa tumetoka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha!!!!!
Ila kama Kwenye foleni gari za manual ni mateso kidogo ndiyo maana madereva wengi wanaenda na namba 2 Tu hapo hamna kuachia mguu Kwenye clutch na mwingine Kwenye break
 
😀😀😀😀😀
Mbona mnawadisi vijana wa leo, magari yetu ya zamani ya gear yashapitwa na wakati ukiwa unaendesha Gari ya gear ukakutana na foleni ya kuanzia buguruni mpaka mnazi mmoja unakuwa una tofauti na mtu aliyetembea kwa miguu. Kanyaga clutch weka gear, Kanyaga clutch weka brakes. Izo shida zote tuwaachie watu wa daladala hahaha hah ingawa tumetoka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh huna tofauti na alietembea kwa miguu! Pia clutch zinakufa haraka sana.
 
Mbona mnawadisi vijana wa leo, magari yetu ya zamani ya gear yashapitwa na wakati ukiwa unaendesha Gari ya gear ukakutana na foleni ya kuanzia buguruni mpaka mnazi mmoja unakuwa una tofauti na mtu aliyetembea kwa miguu. Kanyaga clutch weka gear, Kanyaga clutch weka brakes. Izo shida zote tuwaachie watu wa daladala hahaha hah ingawa tumetoka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa unadharau haaa
 
Back
Top Bottom