blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Hii beat inazidi kuwa maarufu na wasanii wakubwakubwa East Africa wanaendelea itumia, nilianza kuisikia kwa Atilo ft Jovial such kind of love, akaitumia Diamond naanzaje, ameitumia Rayvanny I miss you.
Na wengine wanaendelea itumia.
Beat hizi hutokea wapi!? Nani ana copyrights!? Je, huwa ni bure kuzitumia?
Na wengine wanaendelea itumia.
Beat hizi hutokea wapi!? Nani ana copyrights!? Je, huwa ni bure kuzitumia?