Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

Paschal sasahivi hata kuingia jamvini unaona aibu heshima ambayo ulijijengea umekuja kuiharibu sababu ya njaa.
 
Wewe ulikua unagombea kusindikiza wenzio,pambana upate hata viti maalumu.
Naskia team yenu ni mauno tu hakuna jipya
 
Mkuu inawezekana kabisa Bi Halima J. Mdee hajafanya chochote (endapo wabunge wakiwa na ambacho wanaweza kufanya wao kama wao) lakini kumleta Gwajima ni dharau sana kwa wapiga kura...!!
Gwajima haaminiki... Mropokaji... Mtukanaji... Mdhalilishaji...
Kabisa limemshinda atawezana na Ubunge??
 
Anaelezea hayo kwenye kampeni nenda kwenye mikutano yake ili akakubadilishe kabisa umpe nakura
 
Primitive analysis basing on roles of Mbunge vs Gorvement ,in this case both Local and Central Government!
Paschal hii Ni akili yako kweli,kwa hiyo mtu amijitolea tu kuchimba kisima tayari kisha faa kuwa Kiongozi!
 
Gwajima kaifanyia jambo kubwa Kawe la kuwala maboga kondoo wake😜😜😜😜😜😜
Ukweli upo wazi gwaji hana mpinzani , bi kidude hajafanya chochote cha maana jimboni kawe.
 
Kaka Challenge hoja zake sio personality, sasa hapo umejibu hoja gani ya Paschal
 
Paskali, Umeingiaje kwenye tego hili la ukabila?? Hilo swali lako kweli limetoka kwako wewe au mtu kaiiba akaunti yako? Unawezaje kuuliza swali la kitoto kihivyo? Umetunga mtungo mreefu kumbe hakuna kitu?? Yaani unataka Gwaji aje kuchukua sadaka yake aliyoitoa kwa watu wa Kawe? Hii si haki kabisa. Sio kasi ya mbunge kulima barabara wala kutengeneza madaraja. Hiyo ni kodi yetu inafanya hivyo. Mmeondoa vyanzo vyote vya mapato kutoka Halmashauri mkazipeleka hazina kuu. Tusaidie kuuliza; Makusanyo ya kodi zetu yamefanya nini Kawe?? Kama fungu lilitolewa akazibana Halima Mdee leteni data hapa tumbane hadi azikojoe hadharani. Kama mmezibana nyie ili aonekane hajafanya kitu kwa kuwa hakutoa zake mfukoni, Hapo imekula kwenyu na mchungaji wenyu. Paskali. Never again ask such a silly question
 
Misiredi yakufuatana kila baada ya dakika kadhaaa....hana.jipya huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…