Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Ndugu yangu, huyo jamaa tangu nilivyogundua ni mgonjwa wa akili, nilijilaumu sana kutumia nguvu na akili zangu bure kubishana nae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndio zuri mzee wa ligi. Anapenda sana kubishana, na kutoa maneno ya kejeli na maneno ya dharau na kujiona kama vile yeye kipanga aliyeshushwa kutoka mbinguni kwamba anajua kila kitu.
 
Huyo ndio zuri mzee wa ligi. Anapenda sana kubishana, na kutoa maneno ya kejeli na maneno ya dharau na kujiona kama vile yeye kipanga aliyeshushwa kutoka mbinguni kwamba anajua kila kitu.
Kinachonichekesha, ni vile anavyoandika maneno mengi halafu hakuna kitu ndani yake 😂😂😂😂😂
 
Wewe ungekuwa makini swali la post namba 218 usingefika post ya 314 ndio uje utoe majibu. Kitendo cha kuacha swali nililokuuliza ni pengine hukua makini au pengine haukuwa na majibu.

Umesema kuwa mtu anaweza kufikia ukamilifu kwa kutumia nyenzo na ala alizopewa.

Nikakwambia nitajie watu waliofikia hilo daraja la ukamilifu. Ukanitajia mitume na manabii kwamba walikuwa wakamilifu.

Nakuuliza swali:

Unapimaje Huo ukamilifu wa hao manabii na mitume je wakati wakiishi duniani au baada ya kufa?

Kama wakati wanaishi duniani, je hao manabii na mitume hawajawahi kufanya makosa ya kibinadamu hapa duniani?

Hao uliosema wamebashiriwa pepo hao hatuwezi kuwazungumzia hapa kwasababu Mimi nahitaji kujua waliopo Sasa au kipindi Cha nyuma.
Soma majibu niliyo mpa mwenzako FRANCIS DA DON huko nyuma.

Sasa sirudii kujibu swali ambalo nimeshalijibu zaidi ya mara moja. Kuweka wazi jambo ambalo liko wazi ni matumizi mabaya ya akili.
 
Kinachonichekesha, ni vile anavyoandika maneno mengi halafu hakuna kitu ndani yake 😂😂😂😂😂
Naona ukakimbia hukurudi tena, umekuja kama mshabiki.

Mnatakiwa muwe mmejiandaa tena kweli kweli, mwenzako anarudia kile nilicho kujibu huko nyuma.

Huwa hatulei ujinga.
 
Soma majibu niliyo mpa mwenzako FRANCIS DA DON huko nyuma.

Sasa sirudii kujibu swali ambalo nimeshalijibu zaidi ya mara moja. Kuweka wazi jambo ambalo liko wazi ni matumizi mabaya ya akili.
Umemjibu kwenye post namba ngapi hilo swali
 
Mwalimu punguza hasira wanafunzi huku wanatoka kapa!!! wata fail wengi na daraja hupandi !!hayaaa
 
Tafuta jibu kwanza tunda walilokatazwa kula ni tunda gani.
 
Watu wazima wa jinsia tofauti wakiisha pamoja kwenye chumba kimoja kwa mda wa miezi 6 tayari hiyo ni ndoa. Hakuna cha Kanisa au Msikiti. Kitendo cha Adam na Eva kuishi pamoja ni ndoa iliyohalalishwa na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wazima wa jinsia tofauti wakiisha pamoja kwenye chumba kimoja kwa mda wa miezi 6 tayari hiyo ni ndoa. Hakuna cha Kanisa au Msikiti. Kitendo cha Adam na Eva kuishi pamoja ni ndoa iliyohalalishwa na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, ila kanisa linasema ni zinaa, hata mkiishi miaka 100 chumba kimoja, why?!
 
Sheria za Kanisa achana nazo, wewe fuata sauti ya Mungu moyoni kwako. Mf. Usioe ili ufanye kazi ya Mungu kuna ukweli ?? Hizo ni sheria zilizotungwa tu na wajanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom