Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Marekani mpaka sasa hawajaweza kufikia 50/50 pamoja na kuwa na uzoefu wa miaka chumgu mzima kwenye mfumo wao wa utawala.
Great Britain kwa miaka yote wamekuwa na PM Margaret Thatcher ambae alichaguliwa na Thereza May ambae alirithi serikali toka kwa Cameron.
Nadhani tujipe muda, wapo wanawake wenye uwezo na ni sawia kabisa kuwa sehemu ya utawala/uongozi.
Ila itakuwa makosa kumpa mti nafasi kwa kuwa ni mwanamke.
Nadhani ni sawa kumpa mtu nafasi kwa kuwa ana uwezo wa kitimiza majukumu ya kuwatumikia Watanzania na kumsaidia Mhe. Rais ambae ni mamlaka ya uteuzi.
Kwetu sisi ambao tuna watoto wa kike, dada, au wake zetu; tuendelee kuwajengea uwezo kwa kupata elimu na wakipata majukumu kwenye maeneo yao watakuza skills za uongozi.
Viongozi wanazaliwa na kutengenezwa (leaders are born and also made) how, tuwape fursa ya majukumu eventually watakuza skills zao za uongozi.
Madam President kufika hapo juu alianzia mahali kwa kutimiza majukumu with time ata-gain skills.
Kila la heri kwa viongozi wote waliopata uteuzi wakiwemo wanawake, ila tusikimbilie kwenye 50/50 bila kuwa na maandalizi ya viongozi kwa kuwapa majukumu ili wakue kiungozi.
Great Britain kwa miaka yote wamekuwa na PM Margaret Thatcher ambae alichaguliwa na Thereza May ambae alirithi serikali toka kwa Cameron.
Nadhani tujipe muda, wapo wanawake wenye uwezo na ni sawia kabisa kuwa sehemu ya utawala/uongozi.
Ila itakuwa makosa kumpa mti nafasi kwa kuwa ni mwanamke.
Nadhani ni sawa kumpa mtu nafasi kwa kuwa ana uwezo wa kitimiza majukumu ya kuwatumikia Watanzania na kumsaidia Mhe. Rais ambae ni mamlaka ya uteuzi.
Kwetu sisi ambao tuna watoto wa kike, dada, au wake zetu; tuendelee kuwajengea uwezo kwa kupata elimu na wakipata majukumu kwenye maeneo yao watakuza skills za uongozi.
Viongozi wanazaliwa na kutengenezwa (leaders are born and also made) how, tuwape fursa ya majukumu eventually watakuza skills zao za uongozi.
Madam President kufika hapo juu alianzia mahali kwa kutimiza majukumu with time ata-gain skills.
Kila la heri kwa viongozi wote waliopata uteuzi wakiwemo wanawake, ila tusikimbilie kwenye 50/50 bila kuwa na maandalizi ya viongozi kwa kuwapa majukumu ili wakue kiungozi.