Je, haya maji ni salama? Tulipata maji haya Geita mwaka 2019

Je, haya maji ni salama? Tulipata maji haya Geita mwaka 2019

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Maji haya yalifika kwa wingi mkoani kwetu Geita mwaka 2019. Sasa naomba kufahamu kwa matumizi ya kupikia yako salama kweli?

👉Na hayo mapovu meupe ni chemical gani ambayo imetumika? Maana yanakaa kwa dakika 6 ndio yanakuwa kwenye normal state ya colorless
👉Lakini kwanini maji yanakuwa machungu?

Screenshot_20241118_134028.jpg
 
Maji haya yalifika kwa wingi mkoani kwetu Geita mwaka 2019. Sasa naomba kufahamu kwa matumizi ya kupikia yako salama kweli?

👉Na hayo mapovu meupe ni chemical gani ambayo imetumika? Maana yanakaa kwa dakika 6 ndio yanakuwa kwenye normal state ya colorless
👉Lakini kwanini maji yanakuwa machungu?

View attachment 3155289

Nafikiri wataalamu wenyewe waje watuambie Wizara ya Maji
 
bora hata hayo ni meupe japo utajishauri kuyanywa au ufe na kiu nilikuta sehem maji ya bomba kama juisi ya ukwaju machafu kabisa had uyaache ndio ule weusi utuame mnywe.
 
N dawa wanayochanganya huko niliwahi kuyaona nikiwa Arusha ila ndani ya sec 30 yanarudi kuwa sawa
 
Hayo ni maji ya ziwa Victoria ambayo huwa wamechanganywa na dawa moja moja

Wanachanganya na dawa kabisa ili watumiaji wawe safe mda wote maana wengine wanakunywa bila kuchemshwa
 
Excess Chlorine hiyo mzee, hakuna matata mtapata miwasho ya hapa na pale na kuharisha kidogo ila mambo yatakaa sawa...

Mradi mgonjwa wa Asthma mwambieni atumie ya chupa hadi yatulie .
 
Maji haya yalifika kwa wingi mkoani kwetu Geita mwaka 2019. Sasa naomba kufahamu kwa matumizi ya kupikia yako salama kweli?

👉Na hayo mapovu meupe ni chemical gani ambayo imetumika? Maana yanakaa kwa dakika 6 ndio yanakuwa kwenye normal state ya colorless
👉Lakini kwanini maji yanakuwa machungu?

View attachment 3155289
Si maji yakunywesha ng'ombe?
 
Ni Chlorine tu hiyo. Ni kemikali salama kimtindo, na maji yenye taswira hiyo ni salama zaidi kiafya (hayana vimelea) japokuwa ubora wa uhalisia (rangi na ladha) wa maji huonekana kuwa tofauti.
Ni kemikali inayotumika kutakatisha maji dhidi ya vimelea wengi wa bacteria. Ikiwekwa kwenye maji, PH ya maji hubadilika na kuwa alkalinity zaidi, na vimelea hufa. Ni sawa tu na ile waterguard ambayo ilikuwa ikiuzwa madukani ili kwenda kutakatikasha maji.

Mamlaka za maji nyingi ambazo hazina mifumo bora ya kisasa ya kuchuja (filter), kuhifadhi (sedimentary storage) hukimbilia moja kwa moja tu kuweka Chlorine nyingi kwenye chamber ya kusukuma maji kwenda kwa wateja ilimradi tu wateja wasife kwa magonjwa ya vimelea vilivyopo kwenye maji.

Maji yenye taswira hiyo ni ngumu mnoo kwa watumiaji wake kupata kipindupindu, Typhoid, Amoeba, na magonjwa mengi ya kuharisha.

Kitaalamu, inashauriwa, maji yakiwa namna hiyo (yana chlorine nyingi na mbichi) ni vyema yakachotwa na kuwekwa yakatulia at least nusu saa ili kemikali ipoe, isambaratike na imalize kazi ya kuua vijidudu.
 
Ni Chlorine tu hiyo. Ni kemikali salama kimtindo, na maji yenye taswira hiyo ni salama zaidi kiafya (hayana vimelea) japokuwa ubora wa uhalisia (rangi na ladha) wa maji huonekana kuwa tofauti.
Ni kemikali inayotumika kutakatisha maji dhidi ya vimelea wengi wa bacteria. Ikiwekwa kwenye maji, PH ya maji hubadilika na kuwa alkalinity zaidi, na vimelea hufa. Ni sawa tu na ile waterguard ambayo ilikuwa ikiuzwa madukani ili kwenda kutakatikasha maji.

Mamlaka za maji nyingi ambazo hazina mifumo bora ya kisasa ya kuchuja (filter), kuhifadhi (sedimentary storage) hukimbilia moja kwa moja tu kuweka Chlorine nyingi kwenye chamber ya kusukuma maji kwenda kwa wateja ilimradi tu wateja wasife kwa magonjwa ya vimelea vilivyopo kwenye maji.

Maji yenye taswira hiyo ni ngumu mnoo kwa watumiaji wake kupata kipindupindu, Typhoid, Amoeba, na magonjwa mengi ya kuharisha.

Kitaalamu, inashauriwa, maji yakiwa namna hiyo (yana chlorine nyingi na mbichi) ni vyema yakachotwa na kuwekwa yakatulia at least nusu saa ili kemikali ipoe, isambaratike na imalize kazi ya kuua vijidudu.
Asante kwa somo zuri
 
Maji wanayooshea Matank hayo kuondoa algae na hayaja fanyiwa Reverse Osmosis ....weka arovera yatakuwa Sawa.😁
 
Ni Chlorine tu hiyo. Ni kemikali salama kimtindo, na maji yenye taswira hiyo ni salama zaidi kiafya (hayana vimelea) japokuwa ubora wa uhalisia (rangi na ladha) wa maji huonekana kuwa tofauti.
Ni kemikali inayotumika kutakatisha maji dhidi ya vimelea wengi wa bacteria. Ikiwekwa kwenye maji, PH ya maji hubadilika na kuwa alkalinity zaidi, na vimelea hufa. Ni sawa tu na ile waterguard ambayo ilikuwa ikiuzwa madukani ili kwenda kutakatikasha maji.

Mamlaka za maji nyingi ambazo hazina mifumo bora ya kisasa ya kuchuja (filter), kuhifadhi (sedimentary storage) hukimbilia moja kwa moja tu kuweka Chlorine nyingi kwenye chamber ya kusukuma maji kwenda kwa wateja ilimradi tu wateja wasife kwa magonjwa ya vimelea vilivyopo kwenye maji.

Maji yenye taswira hiyo ni ngumu mnoo kwa watumiaji wake kupata kipindupindu, Typhoid, Amoeba, na magonjwa mengi ya kuharisha.

Kitaalamu, inashauriwa, maji yakiwa namna hiyo (yana chlorine nyingi na mbichi) ni vyema yakachotwa na kuwekwa yakatulia at least nusu saa ili kemikali ipoe, isambaratike na imalize kazi ya kuua vijidudu.
Asante mkuu kwo hayana madhara mengine mwilini
 
Niliwahi kunywa hayo maji pale mbeya, mwili ulikuwa unawasha balaa na tumbo kujaa gas kiasi ni zaidi ya mwaka nilikuwa nateseka na tatizo hilo kila nikitumia Anti-histamine mara dawa za minyoo lakini wapi... tangu nirudi kijijini kwetu huku mbinga tatizo halijatokea tena
Asante mkuu kwo hayana madhara mengine mwilini
 
For years, Geita mlizoea maji ya visima mnavyo chimba wenyewe, GGM waliona watoe msaada kwa jamii ili wakazi wapate maji Safi na salama kwa wakazi wake kama wanavyo fanya kule mgodini kwao, maji yao baada ya kuyatoa ziwani, wanaya treat kwa chemicals tofauti ili yawe maji SAFI na Salama. Maji hayo unaweza kuchota na kunywa bila hata kuchemsha na usipate madhara yoyote
 
Back
Top Bottom