Wengi wanaomchukia jiwe ni wezi au wazembe, ndio hao hao walimuogopa, watumishi waliokuwa wanajituma awamu ya jiwe walikula teuziPamoja na madhaifu yake meeeengi....
Lakini alileta nidhamu na uwajibikaji.
Pia wezi na mafisadi walimuogopa kwasababu alizijua njia zao kwakua aliishi kwenye mfumo tangu wakati wa BM.
Alikua na uchungu na rasilimali za taifa pia alikua alikua na maono yake kwa taifa.
Aliwapenda wanyonge na nakupenda masikini aonewe.
Alisimamia kile alicho kiamini hata kama alikua anaumiza wengine, lakini alisisitiza msimamo wake.
hii ndo Jeiefu niliyoizoea mimiNilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Country water melonMagufuli was a country bumpkin.
Alikuwa anaogopwa nchi gani? Alithubutu kutia mguu ulaya?
hii chai weweNilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Kwani watumishi wa serikali hawakuwa wanyonge kwa nini aliwanyima haki zao za kisheriaPamoja na madhaifu yake meeeengi....
Lakini alileta nidhamu na uwajibikaji.
Pia wezi na mafisadi walimuogopa kwasababu alizijua njia zao kwakua aliishi kwenye mfumo tangu wakati wa BM.
Alikua na uchungu na rasilimali za taifa pia alikua alikua na maono yake kwa taifa.
Aliwapenda wanyonge na nakupenda masikini aonewe.
Alisimamia kile alicho kiamini hata kama alikua anaumiza wengine, lakini alisisitiza msimamo wake.
Nasikia mpaka US walikuwa wanamuhofiaKweli mwamba alikuwa anaogopwa mpaka kwenye nchi za watu.
He was a no nonsense guy.
Wewe unaweza kumuogopa jirani yako akiwa kwenye mji wake.Kweli mwamba alikuwa anaogopwa mpaka kwenye nchi za watu.
He was a no nonsense guy.
Mkuu, nafikiri mimi nimetoa maoni yangu tu. Hivyo yanaweza yakawa sawa ama sio sawaKwani watumishi wa serikali hawakuwa wanyonge kwa nini aliwanyima haki zao za kisheria
Thubutu zake, yaani mtu akiwa na kiburi cha madaraka tu ndio mnuona ana sifa zote hizo?!ulikuwa humjui ndugu yangu, yule alikiuwa anatisha, huo utiisho alikuwa nao. hata hali ya hewa tu ilikua inabadilika eneo alipo.
Huyo aliyekuwa anamuogopa ni wale watumwa wa ajira. Kuna mtu akikosa ajira anaweza hata kuolewa hapa mjini.Nilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
ExactlyUkiona mtu anajitangaza tangaza sana kwamba yeye ni mtu wa Mungu, huku akiwa hajali utu wa mtu, wala maisha ya watu, anaongea uwongo hadi madhabahuni, huyo mtu lazima awe mchawi.
Wala hakuwa mkali, bali alikuwa ni mtu mwenye jazba. Nyerere ndio alikuwa mkali. Kuna tofauti kubwa kati ya jazba na ukali. Watu walikuwa wanaogopa mkihitilafiana kwa kuwa alikuwa na madaraka makubwa, alikuwa anaweza kuyatumia kukukomoa kwani katiba yetu ni dhaifu na rais ni mungu mtu.Achana na imani za kishirikina, aint no such thing as hirizi ya simba.
Ukali wake ulitosha kuweka hofu na si ushirikina
Nipo Malawi Mamdenyi naona huku watu wananena kwa lugha tuπππ€,hizo ishu hawazijui kabisa.Inawezekana.
Na kule malawi alifuata nini?
Usinidanganye huko kuna ile ya funza na ya punje ππNipo Malawi Mamdenyi naona huku watu wananena kwa lugha tuπππ€,hizo ishu hawazijui kabisa.