Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Kwa hiyo mkuu unataka kusema uwa watanganyika wengi bado ni wajinga kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barafu, nimezunguka maeneo mengi sana ya Tanzania. Watanzania wenye akili timamu ni wengi sana, watanzania wasio na akili timamu ni wachache sana. Sioni shida na Tundu Lissu na Chadema wakisema ukienda kwenye karatasi ya kura nenda mwisho kabisa kuna picha ya Salum Mwalimu na Tundu Lissu alafu weka alama ya tiki kwenye kiboksi mbele ya Tundu Lissu.Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti...
Wqngukuwa wako smart/timamu wangemuweka wa tatu kutoka juu au chini, ila siyo mwanzo/mwisho/ katikatiHakuna kitu rahisi kwa binadamu kama kuangalia mwanzo na mwisho.
Hapo hakuna walichofanya mwisho pia ni rahisi sana kuona!
Andiko linaenda kutimia mwaka huuUwoga umewashika, bado kidogo yatapiga vyupi vyenu
Chambo cha Mabeberu chali
Magu hata robo ya kura kwa Lissu hapati atakuwa mshindi wa 3 baada ya lipumba[emoji1][emoji1]Lissu yupo na hata robo ya robo ya kura za JPM hazifikii
Exactly what's in my mindNahisi...na ninaendelea kuhisi. Kuna karatasi za kura hazitakuwa na mgombea/wagombea walio mwisho wa karatasi. Au zitakuwa zimechafuka kule mwisho.
Kunukuu na ku attached Mandiko mahali popote pale huwa hayakatai Kwa kuwa hayana mdomo wa kusema,Andiko linaenda kutimia mwaka huuView attachment 1606970
Amini amini nakwambia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas LissuKunukuu na ku attached Mandiko mahali popote pale huwa hayakatai Kwa kuwa hayana mdomo wa kusema,
Kwani hata wachawi na majambazi hutumia Mandiko katika upumbavu Wao
Tukutane baada ya 28october kama hutokuja na ngonjera za kijinga kuzidi ujinga huu
Chambo chaliiii
"Wewe siku ya kupiga kura wala usihangaike kuangalia majina yote ya wagombea. CCM tupo juu kabisa ya wagombea wote, utamuona Mama Samia Suluhu, . Weka tiki hapo. Usihangaike kuangalia wagombea wengine, wale hawakuhusu. Angalia jina la juu ambapo CCM tupo mwanzoTofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti..
HUENDA BAADHI YA FORM MAJINA YA WATU WA UPINZANI YAKAWA YAMEFIFISHWA KABISA ILI YASIONEKANE AIDHA HUENDA PIA KATIKA BAADHI YA FORM JINA LIKAONEKANA KATIKATI YA FORMTofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti.
Hii ni tofauti na form ya Urais wa Zanzibar chini ya ZEC ambayo imechapishwa kwa kufuata alfabeti. Form ya ngazi za wabunge na madiwani pia imefuata mtiririko huohuo.
Hii inaweza kuonekana jambo dogo machoni pa wengi, lakini katika fitna na mbinu za ushindi, Chama Cha Mapinduzi hapa kimecheza karata mahiri kwani mshindani na mpinzani mkubwa wa Mgombea Urais wa CCM ndugu Lissu amewekwa chini kabisa kwenye mpangilio wa Wagombea wote wa Urais.
Na kwa kuthibitisha hilo, mgombea Urais wa CCM akiwa Hedaru-Same amenukuliwa akisema:
"Wewe siku ya kupiga kura wala usihangaike kuangalia majina yote ya wagombea. CCM tupo juu kabisa ya wagombea wote, utamuona Mama Samia Suluhu, utamuona baba mmoja ana kaupara kazurikazuri hivi. Weka tiki hapo. Usihangaike kuangalia wagombea wengine, wale hawakuhusu. Angalia jina la juu ambapo CCM tupo mwanzo"
Akaenda mbali zaidi akaongezea
"Watu wa Hedaru, huu ndio mfano wa karatasi ya kupigia kura. Mimi na Mama Samia Suluhu tupo mwanzo kabisa kwenye karatasi ya kupigia kura. Ukifika tu unaweka tiki kwangu, unachukua kwa Mbunge Mathayo na diwani. Hayo majina mengine huko usiangalie, tena kama majina ya huko chini usiangalie kabisa, unaweza kupofuka"
Hii ni mbinu nzuri ya ushindi, kuna maeneo watu hawajibiidishi na kutafuta jina la mgombea mshindani wa CCM, watatazama jina la mwanzo na kuweka tiki.
Na ili kuiboresha mbinu yao, sasa CHAMA CHA MAPINDUZI kimetoa karatasi ya mfano wa kupigia kura na mshindani wao mkuu amekatwa na haonekani, hii ni hatua ya mwanzo ya "kumuondoa" mgombea mwenye ushindani na chama chao na NEC inawajibika kutoa tamko kama "karatasi ya Mfano" ya kupigia kura inapaswa kuhaririwa kwa maslahi ya chama kimoja cha siasa, maana kutoa "karatasi ya mfano" isiyofanana na "karatasi rasmi" kwa kumkata mmoja wa wagombea inaleta maswali mengi.
Hii ni wiki ya lala salama, tunapohubiri amani, tukumbuke kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI...Tutendeane haki ili kudumisha amani ya nchi.
Kila anachofanya Mahera na tume yake ni kuhakikisha Magufuli anabaki na hivi sasa anafanya mazoezi ya kumtangaza Kwa mbwembwe.Mtumishi mwema wa CCM!View attachment 1606981