Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
mzee umejikunja balaa
unaowasemea tayari tumeambiwa wana tiket za ndege .
uanlijua hilo.
ushauri: angalia kuwa mstaarabu usilete taharuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee umejikunja balaa
unaowasemea tayari tumeambiwa wana tiket za ndege .
uanlijua hilo.
ushauri: angalia kuwa mstaarabu usilete taharuki.
Mkuu, asubuhi hii nimejikuta ninacheka.Safari hii ng'ombe anachinjwa atakavolala
Utasikia wakisema "dumisheni amani" wakati wavunja amani ni wao!Kila anachofanya Mahera na tume yake ni kuhakikisha Magufuli anabaki na hivi sasa anafanya mazoezi ya kumtangaza Kwa mbwembwe.
Kwa hiyo mkuu unataka kusema uwa watanganyika wengi bado ni wajinga kiasi hicho...??
Wataendelea hivyo hadi lini? Si tupige kura ya mabadiliko au tumeridhika na hali ilivyo...??Wapiga kura wengi ni wajinga na wavivu sana, usijisahaulishe huko vijijini hali ikoje kuhusu elimu.
Kudumisha Amani ni wao kuendelea kuendesha MA 80 sie tuendelee na shida ya Maji baada ya miaka 60 ya Uhuru.Utasikia wakisema "dumisheni amani" wakati wavunja amani ni wao!
Hakuna kitu rahisi kwa binadamu kama kuangalia mwanzo na mwisho.
Hapo hakuna walichofanya mwisho pia ni rahisi sana kuona!
yeee baba, hatumgeuzi...ha ha haSafari hii ng'ombe anachinjwa atakavolala
Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti.
Hii ni tofauti na form ya Urais wa Zanzibar chini ya ZEC ambayo imechapishwa kwa kufuata alfabeti. Form ya ngazi za wabunge na madiwani pia imefuata mtiririko huohuo.
Hii inaweza kuonekana jambo dogo machoni pa wengi, lakini katika fitna na mbinu za ushindi, Chama Cha Mapinduzi hapa kimecheza karata mahiri kwani mshindani na mpinzani mkubwa wa Mgombea Urais wa CCM ndugu Lissu amewekwa chini kabisa kwenye mpangilio wa Wagombea wote wa Urais.
Na kwa kuthibitisha hilo, mgombea Urais wa CCM akiwa Hedaru-Same amenukuliwa akisema:
"Wewe siku ya kupiga kura wala usihangaike kuangalia majina yote ya wagombea. CCM tupo juu kabisa ya wagombea wote, utamuona Mama Samia Suluhu, utamuona baba mmoja ana kaupara kazurikazuri hivi. Weka tiki hapo. Usihangaike kuangalia wagombea wengine, wale hawakuhusu. Angalia jina la juu ambapo CCM tupo mwanzo"
Akaenda mbali zaidi akaongezea
"Watu wa Hedaru, huu ndio mfano wa karatasi ya kupigia kura. Mimi na Mama Samia Suluhu tupo mwanzo kabisa kwenye karatasi ya kupigia kura. Ukifika tu unaweka tiki kwangu, unachukua kwa Mbunge Mathayo na diwani. Hayo majina mengine huko usiangalie, tena kama majina ya huko chini usiangalie kabisa, unaweza kupofuka"
Hii ni mbinu nzuri ya ushindi, kuna maeneo watu hawajibiidishi na kutafuta jina la mgombea mshindani wa CCM, watatazama jina la mwanzo na kuweka tiki.
Na ili kuiboresha mbinu yao, sasa CHAMA CHA MAPINDUZI kimetoa karatasi ya mfano wa kupigia kura na mshindani wao mkuu amekatwa na haonekani, hii ni hatua ya mwanzo ya "kumuondoa" mgombea mwenye ushindani na chama chao na NEC inawajibika kutoa tamko kama "karatasi ya Mfano" ya kupigia kura inapaswa kuhaririwa kwa maslahi ya chama kimoja cha siasa, maana kutoa "karatasi ya mfano" isiyofanana na "karatasi rasmi" kwa kumkata mmoja wa wagombea inaleta maswali mengi.
Hii ni wiki ya lala salama, tunapohubiri amani, tukumbuke kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI...Tutendeane haki ili kudumisha amani ya nchi.
Hivi hili suala mbona sielewi. Yaani mtu umepanga kwenda kumchagua Lissu, halafu unafika kituoni unamkuta Magufuli amewekwa picha yake wa kwanza. Basi tu kwasababu Magufuli yupo wa kwanza unaghairi kumchagua Lissu, ambaye picha yake ipo mwisho, unaweka tick kwa Magufuli. Like seriously.
Kimsingi hili ni goli la Mkono, na ushahidi tosha kua Tume INATUMIKA.Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti.
Hii ni tofauti na form ya Urais wa Zanzibar chini ya ZEC ambayo imechapishwa kwa kufuata alfabeti. Form ya ngazi za wabunge na madiwani pia imefuata mtiririko huohuo.
Hii inaweza kuonekana jambo dogo machoni pa wengi, lakini katika fitna na mbinu za ushindi, Chama Cha Mapinduzi hapa kimecheza karata mahiri kwani mshindani na mpinzani mkubwa wa Mgombea Urais wa CCM ndugu Lissu amewekwa chini kabisa kwenye mpangilio wa Wagombea wote wa Urais.
Na kwa kuthibitisha hilo, mgombea Urais wa CCM akiwa Hedaru-Same amenukuliwa akisema:
"Wewe siku ya kupiga kura wala usihangaike kuangalia majina yote ya wagombea. CCM tupo juu kabisa ya wagombea wote, utamuona Mama Samia Suluhu, utamuona baba mmoja ana kaupara kazurikazuri hivi. Weka tiki hapo. Usihangaike kuangalia wagombea wengine, wale hawakuhusu. Angalia jina la juu ambapo CCM tupo mwanzo"
Akaenda mbali zaidi akaongezea
"Watu wa Hedaru, huu ndio mfano wa karatasi ya kupigia kura. Mimi na Mama Samia Suluhu tupo mwanzo kabisa kwenye karatasi ya kupigia kura. Ukifika tu unaweka tiki kwangu, unachukua kwa Mbunge Mathayo na diwani. Hayo majina mengine huko usiangalie, tena kama majina ya huko chini usiangalie kabisa, unaweza kupofuka"
Hii ni mbinu nzuri ya ushindi, kuna maeneo watu hawajibiidishi na kutafuta jina la mgombea mshindani wa CCM, watatazama jina la mwanzo na kuweka tiki.
Na ili kuiboresha mbinu yao, sasa CHAMA CHA MAPINDUZI kimetoa karatasi ya mfano wa kupigia kura na mshindani wao mkuu amekatwa na haonekani, hii ni hatua ya mwanzo ya "kumuondoa" mgombea mwenye ushindani na chama chao na NEC inawajibika kutoa tamko kama "karatasi ya Mfano" ya kupigia kura inapaswa kuhaririwa kwa maslahi ya chama kimoja cha siasa, maana kutoa "karatasi ya mfano" isiyofanana na "karatasi rasmi" kwa kumkata mmoja wa wagombea inaleta maswali mengi.
Hii ni wiki ya lala salama, tunapohubiri amani, tukumbuke kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI...Tutendeane haki ili kudumisha amani ya nchi.
Ila Magu tuliliwa aiseeee.Hakuna kitu rahisi kwa binadamu kama kuangalia mwanzo na mwisho.
Hapo hakuna walichofanya mwisho pia ni rahisi sana kuona!
Uwoga umewashika, bado kidogo yatapiga vyupi vyenu
Chambo cha Mabeberu chali
Endelea kuoata jpm anashinda kwa kishindo amini usiamni ...Maandiko yanasema "wa mwisho atakuwa wa kwanza"