Uchaguzi 2020 Je, hii ndiyo sababu ya NEC kutochapisha fomu za wagombea Urais kwa "Alphabetical order"?

Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti...
Barafu, nimezunguka maeneo mengi sana ya Tanzania. Watanzania wenye akili timamu ni wengi sana, watanzania wasio na akili timamu ni wachache sana. Sioni shida na Tundu Lissu na Chadema wakisema ukienda kwenye karatasi ya kura nenda mwisho kabisa kuna picha ya Salum Mwalimu na Tundu Lissu alafu weka alama ya tiki kwenye kiboksi mbele ya Tundu Lissu.

Uzuri wa hili ni kuwa neno la kwenye Biblia linaenda kutimia mwaka huu kuwa “Wa Mwisho atakuwa wa Kwanza na wa kwanza atakuwa wa Mwisho “
Tukutane tarehe 29 Oktoba kuanza kusikiliza matokeo!
 
Uwoga umewashika, bado kidogo yatapiga vyupi vyenu

Chambo cha Mabeberu chali
 
Najarbu kuwaza lkn hainiingii akilin eti najua kabisa naenda kumpigia kura mzee wa ubwabwa alafu nishindwe hata kumtafuta yuko namba ngapi? Km kweli watu wanaweza kwenda na kushindwa kufanya hivyo basi lamda uchaguzi wa 2045 ndio tunaweza kuwa siriaz
 
Amini amini nakwambia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
 
Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti..
"Wewe siku ya kupiga kura wala usihangaike kuangalia majina yote ya wagombea. CCM tupo juu kabisa ya wagombea wote, utamuona Mama Samia Suluhu, . Weka tiki hapo. Usihangaike kuangalia wagombea wengine, wale hawakuhusu. Angalia jina la juu ambapo CCM tupo mwanzo
utamuona baba mmoja ana kaupara kazurikazuri hivi
 
mzee umejikunja balaa
unaowasemea tayari tumeambiwa wana tiket za ndege .
uanlijua hilo.
ushauri: angalia kuwa mstaarabu usilete taharuki.
 
Huenda
HUENDA BAADHI YA FORM MAJINA YA WATU WA UPINZANI YAKAWA YAMEFIFISHWA KABISA ILI YASIONEKANE AIDHA HUENDA PIA KATIKA BAADHI YA FORM JINA LIKAONEKANA KATIKATI YA FORM
 
Lisu atamjazia nzi mtu ngoja tareh 29..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…