Uchaguzi 2020 Je, hii ndiyo sababu ya NEC kutochapisha fomu za wagombea Urais kwa "Alphabetical order"?

Kwa hiyo mkuu unataka kusema uwa watanganyika wengi bado ni wajinga kiasi hicho...??

Wapiga kura wengi ni wajinga na wavivu sana, usijisahaulishe huko vijijini hali ikoje kuhusu elimu.
 
Hakuna kitu rahisi kwa binadamu kama kuangalia mwanzo na mwisho.

Hapo hakuna walichofanya mwisho pia ni rahisi sana kuona!

Nakumbuka hata shule ilikua inatokea automatic tu unachek maswali ya kwanza, unageuza pepa mwisho na unajikuta unaanza mwisho kwenye maswali ya max nyingi
 
Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze Kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasijitokeze Mbaka ipatikane katiba mpya.
 
Hivi hili suala mbona sielewi. Yaani mtu umepanga kwenda kumchagua Lissu, halafu unafika kituoni unamkuta Magufuli amewekwa picha yake wa kwanza. Basi tu kwasababu Magufuli yupo wa kwanza unaghairi kumchagua Lissu, ambaye picha yake ipo mwisho, unaweka tick kwa Magufuli. Like seriously.
 

Uzuri uchaguzi huu wagombea ni wawili tu, wa juu na wa chini basi. Hapo ni rahisi sana, unafika chini kabisa kisha unamwaga maji. Na kizazi hiki watu wanavyojitambua, hata Lisu agewekwa nyuma ya karatasi, bado tutampa kura za ukweli.
 

Mpangilio rasmi ni wa alphabetical, aidha ni by ascending order au descending order, kinyume na hapo ni mbinu za kizee.
 
Kimsingi hili ni goli la Mkono, na ushahidi tosha kua Tume INATUMIKA.
 
Uxuri mgombea wangu wa chauma nimeona alipo nikifika sina cha kukawia

sent from HUAWEI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…