Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAJIHivi nani aliwahi kusema kwamba pale Utopoloni wenye akili ni watu 2 tu? Na hao watu 2 ni akina nani?
Nawasilisha kwa hatua zenu wadau.
Dunia muzima wenye akili yanga ni wawili tu, mheshimiwa Kikwete na Mzee Sunday Manara. Wengine ni MANYANI NA MAMMBWA.Wewe unateseka ukiwa wapi?.
Mbona haujasema ajali iliyotowapata Namungo wakati wanasafiri kuja kucheza na Yanga na kupelekea vifo vya mashabiki wao kadhaa?
😄😄Oo! Kumbe ni Haji bin Manara? Hii kauli yake anaweza kuirudia tena leo aliulizwa?HAJI