Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Mkuu umeongea jambo jema sana, hakika mental problem ni tatizo na anapaswa asaidiwe.
 
Kwa hiyo mtu akiwa na mtazamo wa tofauti na kile wewe unachofikiri ni kichwa maji?
maandiko ya kitaaluma huwa ni vigumu kidogo kueleweka,

ni vizuri kutumia lugha rahisi iliyoweka wazi maudhui ya andiko ili makundi yote yapate kuelewa kirahisi mudhui yaliyimo...

sasa ukificha content,
wakati kichwa maji hata paragraph moja tu kimaliza jasho linamtoka, itakua umemkosesha fusra ya kupata uelewa na kuongeza ufahamu wa jambo fulani:pedroP:

hiyo ya tofauti ya fikra ni demokrasia tu...
 
maandiko ya kitaaluma huwa ni vigumu kidogo kueleweka,

ni vizuri kutumia lugha rahisi iliyoweka wazi maudhui ya andiko ili makundi yote yapate kuelewa kirahisi mudhui yaliyimo...

sasa ukificha content,
wakati kichwa maji hata paragraph moja tu kimaliza jasho linamtoka, itakua umemkosesha fusra ya kupata uelewa na kuongeza ufahamu wa jambo fulani:pedroP:

hiyo ya tofauti ya fikra ni demokrasia tu...
Ila hili sio jibu la swali langu mkuu😁😁
 
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Mpina afukuzwe chamani,lasivyo tutarudisha kadi za chama,wengine sisi ni wakongwe na maarufu kwenye chama.
 
Nmesoma Kichwa habari tu.

Mtoa mada If you don't know what to do ,speak less !!.....itakusaidia kuficha Ujinga wako masikioni Kwa werevu.



Nadhan Kuna haja ya JF , iwe inapina ubora wa akili za watu kupitia maandiko Yao.

Andiko kama hili, linaonyesha mtoa mada ni mjinga wa kiwango Cha juu .
Mumeo Mpina anafukuzwa ndani ya chama
 
ya uongo na upotoshaji rihgt? :pedroP:

au ile ya kuchoma nyavu, kutumia rula kupima size ya samaki waliorostiwa kwa nazi,:pedroP:

kutaifisha ming'ombe ya wafugaji au kuteketeza maelfu ya vifaranga vya kuku bila kujali hasara kwa wafanya biashara husika?:pedroP:
we endelea kukusanywa hayo lkn kazi yake tumeuona.
 
Njaa ni mbaya sana kuna wakati inaweza ikakufanya ukubali hata kubadilisha jinsia.

Mkuu jitahidi sana kuficha ujinga wako njaa isikuendeshe.
 
Njaa ni mbaya sana kuna wakati inaweza ikakufanya ukubali hata kubadilisha jinsia.

Mkuu jitahidi sana kuficha ujinga wako njaa isikuendeshe.
kama mpina anavyojitutumu kukomaa na uongo kua kweli, dah njaa kitumbaya sana na mashabiki zake mnaenjoy tu :pedroP:
 
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Sisi tunamwonna ni shujaa anaongozwa na uzalendo
Pamoja na kuomgezewa posho na mshahara wa 14mil mpaka 18 mil kwake si kitu,

Anaumia kuona watz wenzie wananunua sukari bei kubwa sukari iloyo haribika kwenye maghala

Posho zao na mishahara yao si kitu kwake mzalendo huyu
 
Sisi tunamwonna ni shujaa anaongozwa na uzalendo
Pamoja na kuomgezewa posho na mshahara wa 14mil mpaka 18 mil kwake si kitu,

Anaumia kuona watz wenzie wananunua sukari bei kubwa sukari iloyo haribika kwenye maghala

Posho zao na mishahara yao si kitu kwake mzalendo huyu
acha upotoshaji basi gentleman,

au ndio athari ya uzushi na uongo wa mpina zimeanza kuleta matokeo mapema zaidi kwako :pedroP:
 
kama mpina anavyojitutumu kukomaa na uongo kua kweli, dah njaa kitumbaya sana na mashabiki zake mnaenjoy tu :pedroP:
mkuu kama waziri anayetuhumiwa kukubali kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa wafanyabiashara wasio na viwanda vya sukari ambalo ni kosa la kisheria na analifahamu wewe ni nani kwani?😂🤣🤣🤣 unajua unanishangaza mpaka sasa , anayetuhumiwa aliongea mbele ya hadhara ila wewe unamgomea!🤣🤣
 
mkuu kama waziri anayetuhumiwa kukubali kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa wafanyabiashara wasio na viwanda vya sukari ambalo ni kosa la kisheria na analifahamu wewe ni nani kwani?😂🤣🤣🤣 unajua unanishangaza mpaka sasa , anayetuhumiwa aliongea mbele ya hadhara ila wewe unamgomea!🤣🤣
sheria ipi hiyo gentleman:pedroP:
 
Dogo unachekesha sana

unashgangilia eti shetani kamshinda Mungu ni swala la muda tu

Au ni swala la kujilisha upepo
acha upotoshaji basi gentleman,

au ndio athari ya uzushi na uongo wa mpina zimeanza kuleta matokeo mapema zaidi kwako :pedroP:
Dogo sisi tuliijua kasha hii kabla ya mpina
 
Back
Top Bottom