Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Bila hata kusoma sheria, kanuni za bunge, kitu kimoja ni wazi kwa mantiki ndogo tu.

Ikiwa katiba ya nchi inasema wananchi wana haki ya kutoa na kupewa habari muhimu kuhusu nchi yao inavyoendeshwa, na Mpina amewatimizia haki hii wananchi kwa kuweka wazi madai yake ili kila mwananchi ayajue, basi ni dhahiri kwamba alichofanya Mpina, bila kujali kuwa maoni yake ni sawa au si sawa, ni kutimiza haki yake ya kikatiba, na kutimiza haki ya Watanzania ya kikatiba.

Kitendo hicho, bila kujali kanuni za bunge zinasema nini, ni haki ya kikatiba, sheria au kanuni yoyote itakayotungwa kuvunja haki hiyo itakuwa kinyume na katiba na hivyo batili.

Katiba ndiyo sheria mama. Kwingine kote huko inabidi kufuata katiba.

Wananchi ndiyo wanawakilishwa na bunge, wana haki zote za kujua bunge linaendaje na mashauri yaliyo bungeni yana habari gani, kwa undani.

Mpina kaonewa tu.
 
tumalizane kwanza na uongo huu anaoendelea nao kwa kiburi :pedroP:
ndio unapaswa ujibu jamaa aliyekujibu pale juu kwamba ni kweli shuga gepu ni tani elf60 kama alivyosema yuda huku akipingana na kauli za CAG bodi za sukari na NFPA😂😂😂😂 Embu tueleze Kwanini ile jedwali pale inamuacha uchi Yuda Bashe?🤣🤣
 
ndio unapaswa ujibu jamaa aliyekujibu pale juu kwamba ni kweli shuga gepu ni tani elf60 kama alivyosema yuda huku akipingana na kauli za CAG bodi za sukari na NFPA😂😂😂😂 Embu tueleze Kwanini ile jedwali pale inamuacha uchi Yuda Bashe?🤣🤣
hii sasa inaitwa confusers are confusing themselves 🐒
 
Bila hata kusoma sheria, kanuni za bunge, kitu kimoja ni wazi kwa mantiki ndogo tu.

Ikiwa katiba ya nchi inasema wananchi wana haki ya kutoa na kupewa habari muhimu kuhusu nchi yao inavyoendeshwa, na Mpina amewatimizia haki hii wananchi kwa kuweka wazi madai yake ili kila mwananchi ayajue, basi ni dhahiri kwamba alichofanya Mpina, bila kujali kuwa maoni yake ni sawa au si sawa, ni kutimiza haki yake ya kikatiba, na kutimiza haki ya Watanzania ya kikatiba.

Kitendo hicho, bila kujali kanuni za bunge zinasema nini, ni haki ya kikatiba, sheria au kanuni yoyote itakayotungwa kuvunja haki hiyo itakuwa kinyume na katiba na hivyo batili.

Katiba ndiyo sheria mama. Kwingine kote huko inabidi kufuata katiba.

Wananchi ndiyo wanawakilishwa na bunge, wana haki zote za kujua bunge linaendaje na mashauri yaliyo bungeni yana habari gani, kwa undani.

Mpina kaonewa tu.
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba 🐒

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango 🐒
 
hii sasa inaitwa confusers are confusing themselves 🐒
kwahyo unakubaliana kwamba wewe mwenyewe unatetea kitu confusers are confusing themselves?🤣🤣🤣🤣🤣 tukusikilize wewe? Tumsikilize bashe aliekiri? Tumsikilize mkurungezi wa bodi ya sukari? Au bunge lililomfukuza mpina na kukaa kimya? Au ripoti ya CAG INAYOPINGANA NA YUDA BASHE?🤣🤣🤣🤣Embu tusaidie kwani unatetea nini?
 
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba 🐒

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango 🐒
sasa hapo ndio ulipaswa kuonyesha uongo ambao CAG umesema bashe kaongea uongo? Lakini hajakanusha ila wewe umekanusha!😂😂🤣🤣🤣 haya weka uongo hapa tuusome wote kwa ajili ya kujifunza😂😂😂
 
Nmesoma Kichwa habari tu.

Mtoa mada If you don't know what to do ,speak less !!.....itakusaidia kuficha Ujinga wako masikioni Kwa werevu.



Nadhan Kuna haja ya JF , iwe inapina ubora wa akili za watu kupitia maandiko Yao.

Andiko kama hili, linaonyesha mtoa mada ni mjinga wa kiwango Cha juu .
Tlaatlaah soma kwa makini huu ujumbe na uurudie na kuelewa, umekuwa na matumizi mbovu sana ya akili ulizopewa na muumba wako.
 
Tlaa

Kwa kiasi fulani Waziri Bashe alidanganya sana.

Waziri Bashe alisema hakuna hata kilo moja iliyoingia mwaka 2022/2023 hilo halikuwa kweli mkuu. Kwani wafanyabiashara wenye viwanda vya sukari waliingiza Tani 6801.

Na mheshimiwa mpina akamuomba Spika apitie CAG Ukaguzi wa mashirika ya umma.

Hiyo ni Ripoti ya CAG. Mimi mpina alipotoa ule waraka niliupitia moja baada yq nyingine kujiridhisha, kwa kiasi chake alisema vingi vya ukweli na vdeo zipo zikionyesha uongo aliosema waziri bashe. Ila kama wanafikiri mpina kakosea lakini bashe yupo sahihi kudanganya ni sawa, japo Watanzania tulishaona ukweli ni upi hata kama mpina anatumika.

Mkuu Tlaa,
Hata hivyo mheshimiwa bashe alisema nchi inq gap sugar ya Tani 60000 si kweli kwani hata jedwali hapo linaonekana mkuu, zilikuwa zikihitajika tani 30000 tu hivyo Mheshimiwa bashe alidanganya bunge na watanzania wote.

Lakini pia nilipitia barua ya bodi ya sukari Tanzania iliyoandikwa na mkurungezi wa bodi prof. Bengesi kwenda kwa katibu mtendaji ikionyesha uhitaji unaohitajika na aliousema bashe ni tofauti hivyo ni uongo.

Sitaki kusema sana lakini ukipata muda pitia sheria za bodi ya sukari, pitia barua utaona kwamba mpina anachoongea ni sahihi. Lakini ni sababu masilahi ya wakubwa lazima wafanye walichofanya.
aiseeee hii spana kairuka kama hajaiona😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Ni ajabu sana kuona mtanzania anayejipambanua kuwa na uelewa mkubwa kuanza kufanya personal attacks badala ya kushambulia hoja.
Huyu alichokiandika kaandika kwa shinikizo la buku 7 yeye kama anajua sana azitolee ufafanuzi hoja za Luhaga Mpina hapo nitamuona kweli ni critical thinker unless otherwise huyu nae ni Boya fulani tu. Alafu wao walidhani wakimfungia vikao 15 atageuka Kondoo sasa Mwamba anakuja kivingine. Mamaaaeee wamekuwa Wapuuzi sana. Maana sasa hivi tofauti ya Bunge na Serikali haionekani halafu anakuja mjinga mmoja tu humu na upuuzi wake kichawani anaanzisha uzi wa kijinga kama huu.
 
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba 🐒

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango 🐒
Kama Mpina ni muongo, kwani unashindwa kupinga uongo wa Mpina bila kumzuia kusema akiwa Mbunge?

Unaelewa kwamba sijafika hata huko kwenye Mpina muongo au mkweli, naongelea haki yake ya kikatiba ya kutoa taarifa na haki ya Watanzania kupewa taarifa muhimu za jinsi nchi yao inavyoendeshwa?
 
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Yaan kwa dunia hii ya maendeleo ya sayansi na technology ww bado hunashabikia uongo. Kwa sasa bias tunawachia wasio na elimu na mwisho watadondoka kwa kishindo. Kule Kenya next week Ruto anaondoshwa. Kwa hiyo ndugu acha ujima.
 
Yaan kwa dunia hii ya maendeleo ya sayansi na technology ww bado hunashabikia uongo. Kwa sasa bias tunawachia wasio na elimu na mwisho watadondoka kwa kishindo. Kule Kenya next week Ruto anaondoshwa. Kwa hiyo ndugu acha ujima.
achana na Ramli gentleman 🤣

uongo hauwez kukufukisha popote wew na mpina 🐒
 
Kama Mpina ni muongo, kwani unashindwa kupinga uongo wa Mpina bila kumzuia kusema akiwa Mbunge?

Unaelewa kwamba sijafika hata huko kwenye Mpina muongo au mkweli, naongelea haki yake ya kikatiba ya kutoa taarifa na haki ya Watanzania kupewa taarifa muhimu za jinsi nchi yao inavyoendeshwa?
uongo wake umekataliwa na bunge tena kwa adhabu na next week kiburi jeuri na uongo wake unaenda kutaliwa mahakamani 🐒
 
Huyu alichokiandika kaandika kwa shinikizo la buku 7 yeye kama anajua sana azitolee ufafanuzi hoja za Luhaga Mpina hapo nitamuona kweli ni critical thinker unless otherwise huyu nae ni Boya fulani tu. Alafu wao walidhani wakimfungia vikao 15 atageuka Kondoo sasa Mwamba anakuja kivingine. Mamaaaeee wamekuwa Wapuuzi sana. Maana sasa hivi tofauti ya Bunge na Serikali haionekani halafu anakuja mjinga mmoja tu humu na upuuzi wake kichawani anaanzisha uzi wa kijinga kama huu.
umeandika kwa mihemko iliyopoa,
but kadiri ulivyokua unaturirika ghadhabu zikawa zinapanda pia halafu ukaanda kupoteza point na ukamalizia kwa hitimisho la hasira kwamba fikra na hoja zako zimefikia ukomo 🤣
 
kwahyo unakubaliana kwamba wewe mwenyewe unatetea kitu confusers are confusing themselves?🤣🤣🤣🤣🤣 tukusikilize wewe? Tumsikilize bashe aliekiri? Tumsikilize mkurungezi wa bodi ya sukari? Au bunge lililomfukuza mpina na kukaa kimya? Au ripoti ya CAG INAYOPINGANA NA YUDA BASHE?🤣🤣🤣🤣Embu tusaidie kwani unatetea nini?
si ndiyo waongo na wapotoshaji mnajichanganya wenyewe kujaribu kuhalalisha uongo wenu kua kweli 🐒
 
Back
Top Bottom