Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Mkuu umeongea jambo jema sana, hakika mental problem ni tatizo na anapaswa asaidiwe.
 
Kwa hiyo mtu akiwa na mtazamo wa tofauti na kile wewe unachofikiri ni kichwa maji?
maandiko ya kitaaluma huwa ni vigumu kidogo kueleweka,

ni vizuri kutumia lugha rahisi iliyoweka wazi maudhui ya andiko ili makundi yote yapate kuelewa kirahisi mudhui yaliyimo...

sasa ukificha content,
wakati kichwa maji hata paragraph moja tu kimaliza jasho linamtoka, itakua umemkosesha fusra ya kupata uelewa na kuongeza ufahamu wa jambo fulani

hiyo ya tofauti ya fikra ni demokrasia tu...
 
Ila hili sio jibu la swali langu mkuu😁😁
 
Mpina afukuzwe chamani,lasivyo tutarudisha kadi za chama,wengine sisi ni wakongwe na maarufu kwenye chama.
 
Mumeo Mpina anafukuzwa ndani ya chama
 
ya uongo na upotoshaji rihgt?

au ile ya kuchoma nyavu, kutumia rula kupima size ya samaki waliorostiwa kwa nazi,

kutaifisha ming'ombe ya wafugaji au kuteketeza maelfu ya vifaranga vya kuku bila kujali hasara kwa wafanya biashara husika?
we endelea kukusanywa hayo lkn kazi yake tumeuona.
 
Njaa ni mbaya sana kuna wakati inaweza ikakufanya ukubali hata kubadilisha jinsia.

Mkuu jitahidi sana kuficha ujinga wako njaa isikuendeshe.
 
Njaa ni mbaya sana kuna wakati inaweza ikakufanya ukubali hata kubadilisha jinsia.

Mkuu jitahidi sana kuficha ujinga wako njaa isikuendeshe.
kama mpina anavyojitutumu kukomaa na uongo kua kweli, dah njaa kitumbaya sana na mashabiki zake mnaenjoy tu
 
Sisi tunamwonna ni shujaa anaongozwa na uzalendo
Pamoja na kuomgezewa posho na mshahara wa 14mil mpaka 18 mil kwake si kitu,

Anaumia kuona watz wenzie wananunua sukari bei kubwa sukari iloyo haribika kwenye maghala

Posho zao na mishahara yao si kitu kwake mzalendo huyu
 
acha upotoshaji basi gentleman,

au ndio athari ya uzushi na uongo wa mpina zimeanza kuleta matokeo mapema zaidi kwako
 
kama mpina anavyojitutumu kukomaa na uongo kua kweli, dah njaa kitumbaya sana na mashabiki zake mnaenjoy tu
mkuu kama waziri anayetuhumiwa kukubali kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa wafanyabiashara wasio na viwanda vya sukari ambalo ni kosa la kisheria na analifahamu wewe ni nani kwani?😂🤣🤣🤣 unajua unanishangaza mpaka sasa , anayetuhumiwa aliongea mbele ya hadhara ila wewe unamgomea!🤣🤣
 
sheria ipi hiyo gentleman
 
Dogo unachekesha sana

unashgangilia eti shetani kamshinda Mungu ni swala la muda tu

Au ni swala la kujilisha upepo
acha upotoshaji basi gentleman,

au ndio athari ya uzushi na uongo wa mpina zimeanza kuleta matokeo mapema zaidi kwako
Dogo sisi tuliijua kasha hii kabla ya mpina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…