Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Bila hata kusoma sheria, kanuni za bunge, kitu kimoja ni wazi kwa mantiki ndogo tu.

Ikiwa katiba ya nchi inasema wananchi wana haki ya kutoa na kupewa habari muhimu kuhusu nchi yao inavyoendeshwa, na Mpina amewatimizia haki hii wananchi kwa kuweka wazi madai yake ili kila mwananchi ayajue, basi ni dhahiri kwamba alichofanya Mpina, bila kujali kuwa maoni yake ni sawa au si sawa, ni kutimiza haki yake ya kikatiba, na kutimiza haki ya Watanzania ya kikatiba.

Kitendo hicho, bila kujali kanuni za bunge zinasema nini, ni haki ya kikatiba, sheria au kanuni yoyote itakayotungwa kuvunja haki hiyo itakuwa kinyume na katiba na hivyo batili.

Katiba ndiyo sheria mama. Kwingine kote huko inabidi kufuata katiba.

Wananchi ndiyo wanawakilishwa na bunge, wana haki zote za kujua bunge linaendaje na mashauri yaliyo bungeni yana habari gani, kwa undani.

Mpina kaonewa tu.
 
tumalizane kwanza na uongo huu anaoendelea nao kwa kiburi
ndio unapaswa ujibu jamaa aliyekujibu pale juu kwamba ni kweli shuga gepu ni tani elf60 kama alivyosema yuda huku akipingana na kauli za CAG bodi za sukari na NFPAπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Embu tueleze Kwanini ile jedwali pale inamuacha uchi Yuda Bashe?🀣🀣
 
hii sasa inaitwa confusers are confusing themselves πŸ’
 
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba πŸ’

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango πŸ’
 
hii sasa inaitwa confusers are confusing themselves πŸ’
kwahyo unakubaliana kwamba wewe mwenyewe unatetea kitu confusers are confusing themselves?🀣🀣🀣🀣🀣 tukusikilize wewe? Tumsikilize bashe aliekiri? Tumsikilize mkurungezi wa bodi ya sukari? Au bunge lililomfukuza mpina na kukaa kimya? Au ripoti ya CAG INAYOPINGANA NA YUDA BASHE?🀣🀣🀣🀣Embu tusaidie kwani unatetea nini?
 
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba πŸ’

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango πŸ’
sasa hapo ndio ulipaswa kuonyesha uongo ambao CAG umesema bashe kaongea uongo? Lakini hajakanusha ila wewe umekanusha!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ haya weka uongo hapa tuusome wote kwa ajili ya kujifunzaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tlaatlaah soma kwa makini huu ujumbe na uurudie na kuelewa, umekuwa na matumizi mbovu sana ya akili ulizopewa na muumba wako.
 
aiseeee hii spana kairuka kama hajaionaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Ni ajabu sana kuona mtanzania anayejipambanua kuwa na uelewa mkubwa kuanza kufanya personal attacks badala ya kushambulia hoja.
Huyu alichokiandika kaandika kwa shinikizo la buku 7 yeye kama anajua sana azitolee ufafanuzi hoja za Luhaga Mpina hapo nitamuona kweli ni critical thinker unless otherwise huyu nae ni Boya fulani tu. Alafu wao walidhani wakimfungia vikao 15 atageuka Kondoo sasa Mwamba anakuja kivingine. Mamaaaeee wamekuwa Wapuuzi sana. Maana sasa hivi tofauti ya Bunge na Serikali haionekani halafu anakuja mjinga mmoja tu humu na upuuzi wake kichawani anaanzisha uzi wa kijinga kama huu.
 
ni kama ambavyo wananchi wengine pia wana haki ya kukata na kupinga uongo, kuongopewa na uzushi kwa nguvu zote bila ya kuvunja sheria wala katiba πŸ’

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango πŸ’
Kama Mpina ni muongo, kwani unashindwa kupinga uongo wa Mpina bila kumzuia kusema akiwa Mbunge?

Unaelewa kwamba sijafika hata huko kwenye Mpina muongo au mkweli, naongelea haki yake ya kikatiba ya kutoa taarifa na haki ya Watanzania kupewa taarifa muhimu za jinsi nchi yao inavyoendeshwa?
 
Yaan kwa dunia hii ya maendeleo ya sayansi na technology ww bado hunashabikia uongo. Kwa sasa bias tunawachia wasio na elimu na mwisho watadondoka kwa kishindo. Kule Kenya next week Ruto anaondoshwa. Kwa hiyo ndugu acha ujima.
 
Yaan kwa dunia hii ya maendeleo ya sayansi na technology ww bado hunashabikia uongo. Kwa sasa bias tunawachia wasio na elimu na mwisho watadondoka kwa kishindo. Kule Kenya next week Ruto anaondoshwa. Kwa hiyo ndugu acha ujima.
achana na Ramli gentleman 🀣

uongo hauwez kukufukisha popote wew na mpina πŸ’
 
uongo wake umekataliwa na bunge tena kwa adhabu na next week kiburi jeuri na uongo wake unaenda kutaliwa mahakamani πŸ’
 
umeandika kwa mihemko iliyopoa,
but kadiri ulivyokua unaturirika ghadhabu zikawa zinapanda pia halafu ukaanda kupoteza point na ukamalizia kwa hitimisho la hasira kwamba fikra na hoja zako zimefikia ukomo 🀣
 
si ndiyo waongo na wapotoshaji mnajichanganya wenyewe kujaribu kuhalalisha uongo wenu kua kweli πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…