Je, hii ni sahihi katika dini ya Uislamu???

Je, hii ni sahihi katika dini ya Uislamu???

Hao mamia wako wapi?
160616163030-03-cnnphotos-queer-and-muslim-tease-only.jpg
 
Kwani kuna Aya inayowazuia wanawake kuwa ma Imamu?

Wacheni udikteta katika Dini.

La. Sivyo wekeni andiko linalo wakataza wanawake kuwa ma imamu.
Unataja aya yanini hali yakuwa wewe sio muisilamu?
 
ipo hivi, sala ni dua, ni unyenyekevu, na mawasiliano kati ya mwanadamu na muumba wake, sala inahitaji utulivu wa akili na haipaswi kuingiliwa na jambo lolote,
katika uislam sisi wanaume tunaamrishwa kuinamisha vichwa chni tuonapo mwanamke mbele yetu ambaye si mkeo na ambaye kwako wewe inafaa kumuoa, quran 24:30

Hapohapo quran 24:31 inawakataza wanawake kuonyesha maungo yao na kujisitiri maungo yao, na wainamishe nyuso zao mbele ya mwanaume.

vilevile mafundisho ya kiislam hayaruhusu mwanamke kuvaa nguo ambazo ni kishawishi kwa mwanaume, mfano zenye kitambaa chepesi ama cha mpira chenye kuweza kuchora umbo lake

sasa katika hali ya kawaida kaa chini fikiria wewe mwenyewe je inafaa kumfanya mwanamke kuwa imam

Na kwa ufupi katika uislam mwanaume ndio kiongozi daima, imamu ni kiongozi
Imamu kwa kiswahili ni kiongozi mwanamke hafai kuwaongoza wanaume sio kwenye swala tu
 
Lakini mbona wako msikitini[emoji848][emoji848], na anatumia aya za Quran kuswalisha
Katika uisilamu neno imamu maana yake kiongozi rais mbunge waziri diwani mwalimu mkuu nk nafasi hizi zitamuhusu mwanamke kuwaongoza wanawake wenzie sio kuwaongoza wanaume hakuwa rais kama mama samia hali ya kuwa midume imekubali kuongozwa na mama utafanyaje,lakini vitabakia kuwa haramu tu
 
Hii dini ni ya kibaguzi Sana sijawahi kuona. Kwani mwanamke sio binadamu?
 
Katika uisilamu neno imamu maana yake kiongozi rais mbunge waziri diwani mwalimu mkuu nk nafasi hizi zitamuhusu mwanamke kuwaongoza wanawake wenzie sio kuwaongoza wanaume hakuwa rais kama mama samia hali ya kuwa midume imekubali kuongozwa na mama utafanyaje,lakini vitabakia kuwa haramu tu
Mama anaongoza na watu kimyah!
 
Mama anaongoza na watu kimyah!
Kama madume na ndevu zao na mizinga yao na vifaru via wamekubali mama kuwa imamu wao wawe mamuma wewe husie na nguvu kama mimi hata panga sina hata ni kikataa kazi bule,lakini haina maana kuwa uisilamu qur,an himeridhia mwanamke kuwa imamu wa wanaume lah bali hitabaki kuwa haramu tu mwana mama kuwa swalisha wanaume
 
Hii dini ni ya kibaguzi Sana sijawahi kuona. Kwani mwanamke sio binadamu?
Mwanamke ni binadamu,mbona wewe kama mwanamke audi kumposa mwanaume?mbona wewe kila mwezi unatokwa damu wanaume hawatokwi damu mbona husemi huo ni ubaguzi?mbona wewe unabeba mimba wanaume hawabebi mimba mbona husemi ubaguzi?mbona unakojoa umechuchumaa wanaume wana simama wewe ukikojoa hume simama hicho kimini chako chote kitaloa kwa mikojo mbona usemi ubaguzi?ukweli unaujua tu ila ushenzi tu ndio unao kusumbua
 
HAKUNA MUISLAMU ASIYEJUA UISLAMU UMEANZISHWA NA PADRE WA KATOLIKI.

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo na alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inasemekana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.

Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W)

Alikiwa padri wa KANISA KATOLIKI.
UKIBISHA INGIA CHAT GTP
 
BINADAMU WA KWANZA KUSLIMU DUNIANI ALIKUWA MWANAMKE
Hacha kusilimu binamu wa 2 kuumbwa halikuwa mwanamke,mbono ujiulizi kwanini alieumbwa kwa udongo halikuwa mwanaume hasiwe mwanamke?mbona usemi huo ni ubaguzi?kuwa 1 kusilimu hakumpi uhalali wa kuongoza wanaume
 
Hacha kusilimu binamu wa 2 kuumbwa halikuwa mwanamke,mbono ujiulizi kwanini alieumbwa kwa udongo halikuwa mwanaume hasiwe mwanamke?mbona usemi huo ni ubaguzi?kuwa 1 kusilimu hakumpi uhalali wa kuongoza wanaume


UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.
 
Hacha kusilimu binamu wa 2 kuumbwa halikuwa mwanamke,mbono ujiulizi kwanini alieumbwa kwa udongo halikuwa mwanaume hasiwe mwanamke?mbona usemi huo ni ubaguzi?kuwa 1 kusilimu hakumpi uhalali wa kuongoza wanaume


WAJINGA kama NYIE Huwa siwapendi
 
Back
Top Bottom