Je hii ni sawa? Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,

tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.

Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.

Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani
 
Shida yako ni nini sasa?
 
Hapa umetumia kiswahili cha kiZanzibari, kichwa cha habari kimenichanganya isee!
Mkuu unaelewa maana ya kupangisha?
Huyo kapanga bhana.
 

Hii iliwahi kutokea kwetu mwaka Jana Kuna familiar walikuja kupanga home walipanga chumba na sebure ila walikua baba mama na watoto watatu mama mkwe na ndg wakike wawili na mmoja kati Yao ana mtoto Yan kama watu kumi na Moja kwenye vyumba viwili, ila umasikini ndo chanzo Cha yote

Hapa umetumia kiswahili cha kiZanzibari, kichwa cha habari kimenichanganya isee!
Mkuu unaelewa maana ya kupangisha?
Huyo kapanga bhana.
 
Tandale tan ESCO nyumba ya urithi ndugu wote kila mtu kapewa chumba chake, lkn wazee wale wameoa wana watoto sasa sijui wanalala kumbini au koridoni na ni watu wana 50+ na wana wajukuu wengine mpk from foo wamemaliza

Mm hapo sishangai kabisa
 
Uamuzi mzuri kulala mtoto kwa jiran ndo chanzo cha kubakwa
 
Wamekushitukia mkuu, unataka binti wa miaka 15 aje kulala kwako ujipigie tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…