Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Lakini,huyo ni@BushmamyWamekushitukia mkuu, unataka binti wa miaka 15 aje kulala kwako ujipigie tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini,huyo ni@BushmamyWamekushitukia mkuu, unataka binti wa miaka 15 aje kulala kwako ujipigie tu?
Kama ni ke basi atakuwa anamuwekea "mazingira ya uwanja wa mazoezi" kijana wake, hawa wanawake wa uswahilini hawafai mkuu.Lakini,huyo ni@Bushmamy
Usishangae ndio hali ilivyo halafu mchana wanakaa nje tu kuwachora wanaopita njia na kuanza kuwasema vibaya yaan kila anaepita wanakaa kumzungumzia cha ajabu usiku ukiingia wanaingia kurundikana kwenye chumba kimojaUna maanisha chumba kimoja au nyumba moja?
Inawezekana kweli watu 9 wakaishi kwenye chumba kimoja? Kama ni hivyo basi ccm ilaaniwe milele.
Kwani kusema ukweli ni jinai?Kama ni ke basi atakuwa anamuwekea "mazingira ya uwanja wa mazoezi" kijana wake, hawa wanawake wa uswahilini hawafai mkuu.
Hao wapo sana kuna sehemu moja wamepanga chumba wote wanaume watu wazima wapo km 8 hivi chumba cha giza tupu usiku wanaongea sijui kiCongo sijui kirundi lugha haieleweki na ukisikia wanaongea hio lugha jua wanakuteta uliepita yaan wamepangana hapo nje kuwasema wanaopita njia usiku ukiingia wanaingia kurundikana ndani km magunia gizani kwenye mbu mchana hawakai ndani chumba hakina sealing board kwa hio bati likipigwa na jua humo ndani ni fukutoUnaweza usiamini but trust me haya mambo yapo, lakini hamna jipya chini ya jua tafuta hela
Nimeishi mabibo , kuna jamaa alikuwa anaishi na familia yake , wako watano (baba,mama na watoto 3) ..Walipanga chumba kimoja tu , walikigawa kwa kuweka kama pazia , ndani kuna kila kitu mpaka majiko wanaweka huko .Una maanisha chumba kimoja au nyumba moja?
Inawezekana kweli watu 9 wakaishi kwenye chumba kimoja? Kama ni hivyo basi ccm ilaaniwe milele.
Ccm ndio chanzo cha umasikini uliokithiri hapa nchini.sasa apo ccm imefanyaje😂😂😂
we mbona familia yako hamkai chumba kimojaCcm ndio chanzo cha umasikini uliokithiri hapa nchini.
Unajua hesabu?we mbona familia yako hamkai chumba kimoja
Umewahi kuingia ndani ukaona mazingira yamekaaje?Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,
tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.
Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.
Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani