Je hii ni sawa? Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja

Je hii ni sawa? Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja

Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,

tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.

Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.

Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani
Tafuta kazi ufanye mkuu
 
Ndo maana wengine wakioa wake zao na watoto watakuwa kijijini kwanza kikubwa kuelewana tuu..,.. hizo kadhia unashindwa hata kukaa uchi


Kuvaa watoto wafumbe macho
Aseeh so poa kabisa
 
Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,

tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.

Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.

Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani
Sawa hayo mambo yao wenyewe hayakuhusu,nakuhisi kuna kitu unawaza kwahiyo umeamua kuja humu kujifanya unawahurumia...
 
Ni sawa kabisaaa.... Nikukumbushe zipo familia zinalala nje hawana makazi.kila mtu atapata majaribu ya aina yake ni Jambo zuri familia ikisimama nawe wakati huo. Mwamba anapambana na familia inamtumainia. Misuko suko ni kawaida kwa mpambanaji.
Nimependa ulichokiandika 😍
 
Back
Top Bottom