Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Raha zikiwa nyingi sasa nyumba ni moja afu ukichek mazingira duuh....nyumba za urith raha
Unajiuliza hata wazee michezo ya kikubwa inakuaje ni hatare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha zikiwa nyingi sasa nyumba ni moja afu ukichek mazingira duuh....nyumba za urith raha
Tafuta kazi ufanye mkuuKuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,
tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.
Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.
Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani
Jamaa anataka kubweda tuWamekushitukia mkuu, unataka binti wa miaka 15 aje kulala kwako ujipigie tu?
Sawa hayo mambo yao wenyewe hayakuhusu,nakuhisi kuna kitu unawaza kwahiyo umeamua kuja humu kujifanya unawahurumia...Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja,
tatizo moja ni kuwa ndani ya hiyo familia kuna Baba,Mama, mtoto mkubwa wa kiume wa umri wa miaka 17, mwanafunzi mtoto wa kike umri wa miaka 15 nae mwanafunzi pia wa sec. Na wadogo zao wengne kuanzia miaka 14 kushuka chini.
Kaja mama mkwe nae anaumwa umwa nae pia anauguzwa na anaishi hapo.
Hawataki mtoto yoyote kulala kwa jirani
Nimependa ulichokiandika 😍Ni sawa kabisaaa.... Nikukumbushe zipo familia zinalala nje hawana makazi.kila mtu atapata majaribu ya aina yake ni Jambo zuri familia ikisimama nawe wakati huo. Mwamba anapambana na familia inamtumainia. Misuko suko ni kawaida kwa mpambanaji.