Je, hili gonjwa lililompata mshikaji wetu ni karma au uchawi?

Ili arudishe heshima ya ndoa atafute mafuta ya ndege (haya mpaka ATCL) achanganye na mafuta ya nyonyo kisha anywe nusu saa kabla ya kuingia dimbani.
 
Hii ni siri ya ndani sana baina ya Jamaa na Mkewe, wewe umeijuaje Mkuu?
Jamaa hali imemzidia, sasa kaanza kulalamika kwa baadhi ya rafiki zake ambao wamemfikishia taarifa J. Wakitegemea kama J kamroga anaweza kumuonea huruma au akaogopa kwamba jamaa atamlipizia kisasi. So J nae kanihadisia na mimi.
 
Embu ajaribu kumbadili mwammke aone majibu ikifanya Kaz bas atimke
Huu ushauri wako ni mzuri na pengine unaweza kuwa msaada kwake, badala ya kulalamika na kung'ang'ania kuwa karogwa.
 
Aisee mkuu wewe unafaa kuwa mwalimu, ukafundisha watu na kukuelewa. Tatizo la hapa JF ukileta uzi wa aina hii, tegemea kukumbana na majibu ya aina tofauti ikiwemo hiyo ya mtu kigeuza maana nzima ya kile kilichoandikwa nk. Kifupi jamaa alizingua kweli kweli, mpaka sasa tukashangaa kutokana na J alivyokuwa anamheshimu na kumuamini sana huyo jamaa, hakutakiwa kumtendea vile. Kwa haya uliyoandika nina imani kuna wenye akili watakuwa wamekuelewa vizuri na kuzingatia kile ulichoandika. Shukran sana mkuu kwa mchango wako wenye kujenga hapa JF.
 
Akikulogea pangani kamlogee uko uko we umelogewa zanzibar umetupiwa jini shoga kazi ipoo utaliwa siku si nyingii,ilimpasa ahame mkoa
 
Ili arudishe heshima ya ndoa atafute mafuta ya ndege (haya mpaka ATCL) achanganye na mafuta ya nyonyo kisha anywe nusu saa kabla ya kuingia dimbani.
Anywe mafuta ya ndege? You can't be serious mkuu. Afu mafuta ya nyonyo ndo yepi hayo mkuu au unamaanisha maziwa ya mama anaenyonyesha?
 
Kwa hiyo mwamba umenyang'anywa mke? Pole aisee! Ila sasa na wewe si utafute mwingine kama unaona wanawake wapo wengi!
 
umejuaje masuala yao chumbani. Yaani mtu akae akuhadithie Kila kitu hadi nukta
Hapana mkuu.. mwenye tatizo hakunihadithia mimi, bali alipoona tatizo linazidi akawaambia jamaa zake ili wampe msaada, ndo jamaa wakalifikisha swala hilo kimya kimya kwa aliekuwa mume wa mwanamke ambae mi ni rafiki yangu. Na ili kupata msaada ikabidi wamwambie J kila kitu mpaka tatizo lilipoanzia. Ila J akawaambia yeye hajui na wala hausiki na chochote kuhusu hayo yaliomkuta jamaa, japo walipiga mkwara kuwa jamaa kasema akigundua kuwa kuna mkono wa J katika tatizo lake atalipiza kisasi.
 
Huyu jamaa sio yeye kwa sababu kwa nini aulize KWA nini ?jamaa hasimamishi kama anajua hilo kwhyo kaja kututega humu au akili zako zimelala.
Mkuu achana nae huyo. Uzi uko wazi kuwa mimi ni rafiki wa J ambae mke wake ndo alikuwa anagongwa na huyo jamaa aliepata tatizo sasa hivi. Kwa vile tatizo limekuwa kubwa jamaa kaanza kuwambia watu ili apate msaada, taarifa zimemfikia J na mimi pia. Sasa tunaofahamu jambo hili hatujui kama ni kurogwa au karma imetumika, ndo maana nimekuja kwa wajuzi humu ili kujua kinachomsibu jamaa maana huenda kuna watu yashawakuta haya. Cha ajabu jamaa ananigeuzia mleta mada kibao kuwa ndio muhusika wa tatizo, na wakati mi nina mke na watoto wawili.
 
Akikulogea pangani kamlogee uko uko we umelogewa zanzibar umetupiwa jini shoga kazi ipoo utaliwa siku si nyingii,ilimpasa ahame mkoa
Mkuu unahisi kuhama mkoa inaweza kumsaidia au inabidi kama kalogewa Zanzibar na yeye aende Zanzibar? Na kama ni karma je hapo afanye vipi?
 
Kwa hiyo mwamba umenyang'anywa mke? Pole aisee! Ila sasa na wewe si utafute mwingine kama unaona wanawake wapo wengi!
Hahaha 😂😂 japo ushauri wako upo nje ya kilichoandikwa, sema sio mbaya kuuzingatia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…