Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Ya bora mkewe kwa vile anaelewa tatizo lilipoanzia anaweza kumfichia aibu, ila mwanamk mungine hatoweza kumuelewa kbs tena anaweza kumtangaza vibaya mitaani. Nina imani jamaa asipopona hata mkewe pia atamkimbia kimya kimya.Na vipi isipofanya kaz uko atakapoenda hiyo fedheha ataificha wapi? Si bora mkewe atamfichia hyo aibu