Je, hili gonjwa lililompata mshikaji wetu ni karma au uchawi?

Hauzijui nyonyo? Nyonyo ni zao maarufu Tanzania, hutumika pia kutibu malaria.
Oh unazungumzia yale majani fulani ambayo ina vimatunda kama vya miba miba hivi mkuu? Au nimekosea kuifananisha
 
Akili za kuambiwa changanya na zako usikute huyo jamaa ambaye amechukuliwa mke ni wewe kwahiyo jamaa kaamua kueneza uongo kwamba jogoo hasimami ili ufurahi usimfuatilie tena huku akiendelea kufaidi tunda la Ex wife wako
 
Akili za kuambiwa changanya na zako usikute huyo jamaa ambaye amechukuliwa mke ni wewe kwahiyo jamaa kaamua kueneza uongo kwamba jogoo hasimami ili ufurahi usimfuatilie tena huku akiendelea kufaidi tunda la Ex wife wako
Hapana mkuu, huyo aliechukuliwa mke sio mimi. Mimi nina mke na watoto wawili mkuu.
 
Jina jingine ni mbarika, kwahiyo wewe mpaka unazeeka unajua vinaitwa vimatunda fulani hivi kama vya miba miba!
Ya mkuu, ki ukweli huu mti sikuwahi kuufatilia sana, ndomaana hata uliponambia jina lake sikufahamu. Shukran kwa mchango wako uliotukuka mkuu.
 
Mchumba au Mke wa mtu ni sumu na sumu inazidi hasa pale unapotembea nae ukijua kbs huyu ni mchumba au mke was mtu utagundulika tu. Tujiepushe na ambavyo sio vya kwetu
 
Mchumba au Mke wa mtu ni sumu na sumu inazidi hasa pale unapotembea nae ukijua kbs huyu ni mchumba au mke was mtu utagundulika tu. Tujiepushe na ambavyo sio vya kwetu
Ya ni kweli mkuu, ndio maana waswahili walisema "mke wa mtu ni sumu".
 
Tego hilo.... na hakuna wakulitoa zaid ya bwana J. Jamaa atahangaika dunia nzima halitatoka had ayamalize na bwana J.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…