Je, hili gonjwa lililompata mshikaji wetu ni karma au uchawi?

Tego hilo.... na hakuna wakulitoa zaid ya bwana J. Jamaa atahangaika dunia nzima halitatoka had ayamalize na bwana J.
Jamaa tatizo lake anashindwa kuja kum face bwana J moja kwa moja ili amuombe msamaha na yaishe. Badala yake amekuwa akipayuka payuka na kutema vitisho kuwa akija gundua kuwa kuna mkono wa J basi na yeye atalipiza kisasi, nahisi hapo ndo jamaa anapoharibu na kuharibikiwa zaidi.
 
Mwambie aende Tunduru Barabara ya kwenda Namtumbo vijijini vya jiran Kuna wajuz wa hyo kitu jamaa alipigwa hyo na mchepuko alikuwa akienda kw mke wake goma usingiz mzito akirud kwa mchepuko hatar kama kanywa red bull jamaa akastuka wajuz wa hayo Mambo wakasaidia Sasa yupo pouwa...
 
Apige namba hii tumpe dawa arudishe heshima ya ndoa 0746852145, ni dawa ya kisukuma hii, lazima kieleweke
Japokuwa jamaa amekuwa adui mkubwa wa rafiki yangu, lkn kwa huruma wang nitawapa ujumbe huu rafiki zake ili wamfikishie kwa faida zake mwenyewe. Shukran kwa msaada wako mkuu.
 
Ok mkuu ngoja nitafikisha ujumbe huu kwa muhusika. Ila swala hili limefanyika nje ya nchi sasa sijui kama atahitajika kufunga safari kwenda Tunduru au mtaalam atatumia tiba ya fimbo ya mbali kumponya jamaa. Shukran kwa mchango na msaada wako wa kutatua tatizo linalomsibu jamaa.
 
Chai ya pilipili kichaa na tangawizi kali!
J aliyeacha mke ni bwege tena zoba!
Huko Sauzi si ndiyo kuna mabingwa wa uchawi, wenyewe wanaita ancestors, a calling. Sijui nini! Sangoma walioshukiwa na roho!
 
Chai ya pilipili kichaa na tangawizi kali!
J aliyeacha mke ni bwege tena zoba!
Huko Sauzi si ndiyo kuna mabingwa wa uchawi, wenyewe wanaita ancestors, a calling. Sijui nini! Sangoma walioshukiwa na roho!
Hahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu sauzi hakuna wachawi bali kuna matapeli ya kichawi. Waganda na baadhi ya wazimbabwe wamekuwa wakipiga pesa ndefu kupitia uchawi fake. J nae aliacha mke baada ya kuona mienendo ya mkewe haieleweki. Hakujua mapema kuwa mkewe anazuzuliwa na rafiki yake.
 
Bwege wacha wamuolee!
Yaani mwanaume uliyekamilika unakuwa na urafiki WA kike na mwanaume mwenzako, mpaka unamlilia mkeo ana matatizo, anakuambia muache, nawe unamtii!??

Huko Rainbow nation huko!
 
Atajuta.
Hapo waganga feki atujaanza yetu.

Mwambie nipo mganga mzuri nitamtibia hata akiwa mbali...awe na mbuzi na debe la mchele,wa kyela, ndoo ya mafuta ya kupikia kama sadaka.
Malipo baada ya kupona.
 
Kwani huyo J si kamuacha huyo mwanamke! Amfungue mwenzake bhn sometimes sio kila ushauri tunabeba tu
 
Unamshauri mwenzako amuache mke wake halafu unaenda kumuoa

Ndio ukome siku nyengine


Halafu mkipata matatizo mseme msaidiwe msisingizie rafiki zenu
 
Mawili akaombe msamaha na mke aachane nae, maan kuachana na mke bila kwenda kuomba msamaha haitasaidia unaweza kwenda kwingine hali ikawa hivyo hivyo. Hivyo la kwanza akatubu toka moyoni uchafu wake na iwe fundisho maishani mwake
 
Acheni kulala na wake za wanaume wenzenu, katika vitu vinaweza kukubadilishia maisha kabisa ni kulala na mke wa mwanaume mwenzako.

Kuna watu wanaijua revenge Acha kabisa, kuna wanaume wanajua kutoa revenge sio poa. Binafsi mke wa mtu NEVER!
 
Atajuta.
Hapo waganga feki atujaanza yetu.

Mwambie nipo mganga mzuri nitamtibia hata akiwa mbali...awe na mbuzi na debe la mchele,wa kyela, ndoo ya mafuta ya kupikia kama sadaka.
Malipo baada ya kupona.
Hahaha πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ baada ya kusoma comment yako, nimejikuta nacheka mwenyew kama chizi πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…