Je hili ni kweli?

inawezekana lakini... nisiwe mbishi kama wewe. mwaka 78 bibi yangu aliniambiaga ...mwanamke ni kqma gunia la chuvi..... endelea tu kuamini wanawake wapo.
 
inawezekana lakini... nisiwe mbishi kama wewe. mwaka 78 bibi yangu aliniambiaga ...mwanamke ni kqma gunia la chuvi..... endelea tu kuamini wanawake wapo.
Kweli embe halidondoki mbali na mwembe.
 
Mkuu, mbona sikuelewi, naona mwili unasisimka.
 
Na sura ya babu yako, duuuh hiyo colabo km kakuumba kui[emoji125] [emoji125] [emoji125]


Heheh!, unaniweka kwenye trouble zaidi sasa atoto. Tayari niko kwenye trouble ivoo.

Itabidi sasa na sie tuumbe wetu cos wanaume wote watakuwa wanaishia kwa viumbe vyao.
Ngoja nianze kutafuta sample.
 
Heheh!, unaniweka kwenye trouble zaidi sasa atoto. Tayari niko kwenye trouble ivoo.

Itabidi sasa na sie tuumbe wetu cos wanaume wote watakuwa wanaishia kwa viumbe vyao.
Ngoja nianze kutafuta sample.
Hahahaaaa! Mie ndio lawyer wako nitakuondoa kwenye hizo troubles usijali[emoji12]

Hebu mchakato uanze faster.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…