Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha me najishaua nalo jamani, na huu uchogo sasa hehehheHii inaitwa shukuru kwa kila jambo maana huwezi umba hats kucha[emoji12]
Cc shots make kui
Hahahaaaa! Wasije sababisha nasi tukakimbia bureeee! Maana itakuwa mtafutano, ghafla kui ataonekana malaika.
Hii inaitwa shukuru kwa kila jambo maana huwezi umba hats kucha[emoji12]
Cc shots make kui
wanaume wapo wengi sana.Itakuwa hakuna wanaume wenye sifa za kuoa pia
I'm flaunting what my daddy gave me[emoji125] [emoji125] [emoji125]Tutafanyaje sasa! Proud of why yo mama or bamkubwa gave ya[emoji12]
Hahaa kwa raha zanguuuNa sura ya babu yako, duuuh hiyo colabo km kakuumba kui[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kama kawaida yake, anaongezea gutambi homeKwa taabu za waumbaji, hivi kaka yako Yuki wapi?
ashukuriwe Mungu Umenipata!Mi ningependa kuolewa na mwanaume mwenye tabia za daddy angu kuanzia upole, tabia hekima akili hata physical appearance urefu yani everything
Mkuu, mbona sikuelewi, naona mwili unasisimka.Habari zenu wana JF?
Kuna usemi kuwa "wanawake hupenda kuolewa na baba zao" na "wanaume hupenda kuoa mama zao"
Dont get it wrong, ila ni kuwa binti huwa karibu sana na baba yake hivyo kupelekea kupenda kuwa na mume kama baba yake, halikadhalika kijana kuwa karibu na mama yake hupelekea atamani kuwa na mke kama mama yake (kwa sifa).
Sasa wapendwa wana JF naomba niwaulize, je kwa wanaume wewe ungetamani mke mwenye sifa za mama yako na kwa wanawake wenzangu, je ungetamani mume mwenye sifa kama za baba yako?
Niwatakie jioni njema.
Hahaha umenikumbusha mbali na "semos", ngoja arudi na mashauzi yakeOoooh poor semos!
Na sura ya babu yako, duuuh hiyo colabo km kakuumba kui[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa! Mie ndio lawyer wako nitakuondoa kwenye hizo troubles usijali[emoji12]Heheh!, unaniweka kwenye trouble zaidi sasa atoto. Tayari niko kwenye trouble ivoo.
Itabidi sasa na sie tuumbe wetu cos wanaume wote watakuwa wanaishia kwa viumbe vyao.
Ngoja nianze kutafuta sample.