Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Wanataka mizee yenye pension..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unataka mwenye papuchi mbili na matiti matatu nini?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]Totoz...hizo ni hoja mbili tofauti kabisa.
Ni hivi, mpaka sasa, kwa vigezo na viwango vyangu, sidhani kama yupo anayefaa kuwa Mrs. Ngabu unless nimuumbe mwenyewe.
Yeah I know. I'm too picky for my own good.
Sasa tuseme, kinadharia tete, ingetokea akawepo huyo mwanamke wa kunifaa basi nisingependa hata kidogo afanane na mama yangu.
Au ikitokea nikaja kumuumba mwenyewe huyo future Mrs. Ngabu basi nitamuumba vile nipendavyo na si vile alivyo mama 'angu.
Sipati picha kulala na mke anayefanana na mama yangu aisee.
Sijui umenielewa?
Ni pilau kabisa, maviungo tuMweeeh! Huo uso au mboga!
AbeeWe mwana we!
Ameshaamika, anascrub kwa chumvi na ukwaju
Mweeeh! Huo uso au mboga!
Kui..Hizo sifa bora hasiziseme..Mana ntasumbuliwa balaaa.. tehHeaven Sent njoo utaje sifa za Kaboom ...lol!
miss you moooore daddy akeNimekumiss Douta..Mpaka moyo umeota sugu
ulijiitisha wenyewe etiKumbukeni tu viungo vikizidi hakuliki
ushawahi ona pilau limemwagwa? ?
Huo usaili nani aliuitisha?
Sasa we kila kitu unataka nikwambie siku moja,halafu kesho tutaongea nn sasa..Kumbeeee! Mbona hukuwahi kuniambia?
Hebu niambie hivyo tulivyopishana.