Je, hizi zinaweza kuwa ni sababu za ongezeko la UTI?

Je, hizi zinaweza kuwa ni sababu za ongezeko la UTI?

Mapenzi kinyume cha maumbile ndio kisababishi kikuu cha maradhi yote ya zinaa ikiwemo ukimwi.
Sehemu ya haja kubwa inamlundikano wa virusi wengi zaidi kuliko mbele, hivyo nyuma kuna hatari kubwa Sana, ndio maana kuna ongezeko la uti, gono, kaswende na HIV
Naunga mkono hoja hii

Hata kama huwa hufukui mitaro,kumbuka huyo demu unaemla kuna njemba inabeba wadudu kuwatoa kwenye anus kuwapeleka kwenye mbususu,

Kwahyo wewe ambae hufukui mtaro unakuta tayar wameshakuhamishia wadudu
 
Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.

Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi

A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa kujisafisha au maji si masafi.
B: Ongezeko la madaktari ku diagnose magongwa ya sehemu za siri kuwa ni UTI hatakama si UTI.
C: Ongezeko la ngono kinyume na maumbile.
Shida huanzia maabara.
Pia mindset za watoa huduma za afya siku hizi wapo kibiashara zaidi.
Wanachukua pesa yako ya consultation, Wanavuta ya vipimo, kisha wanavuta ya dawa i.e Cipro, Amoxclav etc.
Shida nyingine ipo kwa wagonjwa kujifanya wajuaji na kulazimisha kuwa anaumwa ugonjwa fulani.
Mfano; Kulingana na maelezo yako Daktari anaweza akabaini kuwa shida yako labda unahitaji tu kutumia maji ya kutosha na kupata muda wa kutosha wa kupumzika, lakini, My friend ukimwambia hivyo mgonjwa anakuona wewe ndiyo zao la vyeti fake badala yake utamsikia anajibatiza ugonjwa i.e. Malaria, UTI and the alike.
Ndiyo maana ikifikia hapo dakatari anaona cha kufia nini? Anakujazia lundo la dawa ili kukuridhisha ambazo wala hukuwa na haja ya kuzitumia.
Wagonjwa wanapaswa kuheshimu taaluma za watu na watoe maelezo ya kina juu ya hali zinazowasibu ili kuepuka ramli chonganishi.
 
hata usafishe na spray gun haisaidii, ni maambukizi yanayotibiwa kwenye vituo vya afya

ps: hapo mwishoni nimesisimka kweli
pole kwa kusisimka inaelekea unalisikia kwa nadra sana hasa ukiwa na nyege? kwangu ni neno la kawaida tu, kujisafisha inapunguza kidogo kabla hujamkaza
 
Miaka ya 80 uti ilikuwa inaitwa mkojo mchafu. Sasa ilipofika miaka ya 2000, madaktari wakaona neno mkojo mchafu lina sound kijima kijima bora wauite mkojo mchafu uti ili kuupandisha hadhi.
Kweli bwana sasa ukienda hospitali ukimwambia daktari hujielewi elewi unapimwa mkojo fasta hata kama unaharisha. Na majibu yakirudi (ndani ya dakika 10) jibu ni moja tu ni una uti kali. Daktari anakuandikia cipro na panadol lundo ukaugue pole.


Kwa hiyo:
1. Siyo wote wanoambiwa wana UTI wanayo UTI
2. Kipimo sahihi cha UTI kinachukua zaidi ya siku mbili
3. Matumizi holela ya antibiotics yana uhusiano na kuongezeka kwa UTI

Kwa maana nyingine
Point A, B na C za mleta mada zote zinachangia kupata UTI
'Kipimo kinachukua siku mbili ' hivyo tunapopewa majibu ya hapo kwa hapo tunadanganywa?
 
Kupima UTI halisi sio chini ya masaa 8 mpaka 24
Lakini hospital zetu ndani ya dakika 10 umeshapata majibu na ukitaka kuamini hicho kitu nenda hospital 3 au 4 tofauti halafu uone majibu utakayopewa
Mkuuu hii kitu inananichanganya sanaaa. Sasa kama ndivyo mbona karibuni hospital zote wanatoa majibu fasta tuu?.

Iwe za serikali au binafsi.
 
Kwasababu mnazozitaja hapa bado elimu kubwa sana inahitajika. Ama sivyo mtaumwa sana.

UTI ni biashara, lazima ipatikane kwa uwingi ili watu wauze dawa na vipimo. Mbona hata Wizara kuna wakati iligutuka ikatoa ufwafwanuzi na matamko?

Kila mtu anayejipenda alinde kikojoleo chake, vaa kondomu au kuwa mwaminifu, na ukiipata maliza dozi, watu wengi ni walevi dozi ya antibiotics si rafiki kwao, hence USUGU.

Msisahau kutunza kinga zenu za mwili kwa nguvu zote, kinga ikiwa imara UTI na mengineyo utayasikia kwa jirani yako Sele….
 
'Kipimo kinachukua siku mbili ' hivyo tunapopewa majibu ya hapo kwa hapo tunadanganywa?
Ndiyo. Mkojo lazima ufanyiwe analysis (urinalysis) halafu wauoteshe (culture) na mwisho kama kwenye kuotesha wataona bacteria watafanya kipimo kinaitwa sensitivity. Ili kujua huyo bacteria yuko sensitive au resistant kwa antibiotics zipi.

Kwa hiyo, Daktari anatumia majibu ya sensitivity test kukupa dawa sahihi na kisababishi cha uti yako

Bila kufanya urinalysis for CS, huwezi kujua kisababishi cha mkojo mchafu sensu UTI. Na kwa hiyo dawa utakazopewa zinaweza kukutibu au zisikutibu
 
Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.

Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi

A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa kujisafisha au maji si masafi.
B: Ongezeko la madaktari ku diagnose magongwa ya sehemu za siri kuwa ni UTI hatakama si UTI.
C: Ongezeko la ngono kinyume na maumbile.
nipe 0714 ili tuconfirm hii C
 
Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.

Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi

A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa kujisafisha au maji si masafi.
B: Ongezeko la madaktari ku diagnose magongwa ya sehemu za siri kuwa ni UTI hatakama si UTI.
C: Ongezeko la ngono kinyume na maumbile.
Unapo sema U. T. I una maanisha nini labda..????

NOTE : Kipimo cha U. T. I, hakipimwi na mtaalam wa maabara. 🙏 Wataalam wa maabara wanapima kiasi cha cells/uL na siyo U. T. I..


Tatizo serikali haitaki kuajili wataalam wa maabara.. Ndo maana mnapewa majibu ya hovyo.
 
Unapo sema U. T. I una maanisha nini labda..????

NOTE : Kipimo cha U. T. I, hakipimwi na mtaalam wa maabara. 🙏 Wataalam wa maabara wanapima kiasi cha cells/uL na siyo U. T. I..


Tatizo serikali haitaki kuajili wataalam wa maabara.. Ndo maana mnapewa majibu ya hovyo.
Urinary Trach Infection U.T.I . Sina uhakika kwa kiswahili but ni maambukizi ya kwenye mrija wa mkojo.
 
Back
Top Bottom