mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
yaani unamaanisha wanaisambaza makusudi?UTI ni biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani unamaanisha wanaisambaza makusudi?UTI ni biashara
No.yaani unamaanisha wanaisambaza makusudi?
🤣🤣🤣🤣pungent smell...dah!!tatizo sugu kwa wadada ni kisamaki, yaani imekua fashen akishavua tu, pungent smell hii hapa ,
ukiloweka, kesho Azuma inakuhusu
Sio pumba huo ndio ukweli.
Sehemu ya nyuma kazi yake ni kutolea uchafu, kumejaa aina zote za virusi hivyo ukiingizia uume wako huko lazima uondoke na maradhi.
Kufanya mapenzi kinyume cha maumbile kimekuwa chanzo kikuu cha maradhi mbalimbali ikiwemo uti.
UTI si STI kweli, ila nyuma kuna vijidudu ukivipeleka mbele vinaweza leta maambukizi kwenye mfumo wa mkojo. Vijidudu ambavyo sio vya STI.
Una maanisha nini haitishi? Niko interested kwasababu UTI sio kitu chakuwa common kwa jamii kama ilivyo huku kwetu.
Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.
Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi
A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa kujisafisha au maji si masafi.
B: Ongezeko la madaktari ku diagnose magongwa ya sehemu za siri kuwa ni UTI hatakama si UTI.
C: Ongezeko la ngono kinyume na maumbile.
Sababu ya mwisho ina mantiki Kubwan sana.Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.
Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi
A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa kujisafisha au maji si masafi.
B: Ongezeko la madaktari ku diagnose magongwa ya sehemu za siri kuwa ni UTI hatakama si UTI.
C: Ongezeko la ngono kinyume na maumbile.