robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Weak=dhaifu.Sina neno la kusema,napita tu.
Majina ya JF mara nyingi yanasadifu tabia na tawasifu za wamiliki wa majina hayo.
Nami siongezi neno
Cc
jingalao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weak=dhaifu.Sina neno la kusema,napita tu.
mmhMwalimu bora anabidi apate division 1 hadi 3 na sio Division four
Hiki Kiingereza chako ni kiboko. Una ukoo na Kisandu?segregation of duties
Wakulaumiwa ni walimu wa shule ya msingi kwa sababu hawatimizi wajibu wao ipasavyo hasa kufundisha zile KKK mwishowe mwanafunzi anafika darasa la saba hajui kusoma wala kuandika sasa kwakuwa mwalimu mkuu anatetea cheo chake anaamua kuiba mtihani mmoja na kuisovu kisha kuwapa majibu wanafunzi wasiojua kusoma wanaingia nayo kwenye chumba cha mtihani.Nimesoma maoni yote hakuna hata mmoja aliyeonyesha mzizi wa tatizo wote tunamlaumu mtoa mada ,lazima kama wadau wa elimu tujiulize kwa nini tatizo hili litokee ?Nani anatakiwa kulaumiwa ni huyu mwalimu au Serikali?
Mwalimu Bora wa primary ni yule aliyefaulu vizuri mtihani wa primary,Mwalimu bora anabidi apate division 1 hadi 3 na sio Division four
Msovero una akili ndogo SanaWakulaumiwa ni walimu wa shule ya msingi kwa sababu hawatimizi wajibu wao ipasavyo hasa kufundisha zile KKK mwishowe mwanafunzi anafika darasa la saba hajui kusoma wala kuandika sasa kwakuwa mwalimu mkuu anatetea cheo chake anaamua kuiba mtihani mmoja na kuisovu kisha kuwapa majibu wanafunzi wasiojua kusoma wanaingia nayo kwenye chumba cha mtihani.
Muda mwingine walimu hudiriki kujificha chooni na hapo wanakuwa wamewapanga wanafunzi kwamba ukifika muda fulani muombe ruhusa ya kwenda kujisaidia wachache wachache wakifika huko chooni wanapewa vimemo wanaenda navyo kwenye chumba cha mtihani au majibu yanabandikwa chooni wanafunzi wanajifanya wanaenda kujisaidia kumbe wanaenda kukariri hayo majibu na kurudi kwenye chumba cha mtihani.
Matokeo yakitoka unakuta hata asiyejua kusoma kafaulu kwenda form one. Unajiuliza huyu kafaulu vipi? Kumbe ni walimu ndio wanawapa majibu
una akili sanaMleta mada kama ni mwalimu serikali ilikuajiri kimakosa
Hiyo kitu inaitwa segregation of duties
Huwezi kufundisha wewe,utunge mtihani wewe, usimamie wewe na usahihishe wewe!
nafikiri mleta mada anasumbuliwa na inferiority complex.Nipo shuleni ofisini
Mbele yangu Kuna mzigo mkubwa wa daftari za stadi za kazi darasa la tano ninazopaswa kusahisha
Naangalia nje namuona mwalimu wa sekondari yuko bize kusimamia mtihani wa darasa la Saba
Najiuliza kwanini nisisimamie mwenyewe mwalimu wa shule ya msingi?
Je, Serikali imenichukia sana kiasi cha kuninyang'anya majukumu yangu?
Hili limenisikitisha sana nahisi nakosa furaha yangu ya kawaida hapa shuleni
Ni kawaida yangu asubuhi kuwatia moyo watahiniwa kuwa watulivu kisaikolojia ila ukweli leo nimejikuta nimeshindwa kufanya hivyo
Je, huu ni muendelezo wa serikali yetu kutudharau waalimu shule za msingi?
Ishukuru serikali imekupunguzia mzigo...Sasa ungeenda kusimamia hiyo mitihani hizo karatasi Stadi za Kazi nani angekisahihishia?Nipo shuleni ofisini
Mbele yangu Kuna mzigo mkubwa wa daftari za stadi za kazi darasa la tano ninazopaswa kusahisha
Naangalia nje namuona mwalimu wa sekondari yuko bize kusimamia mtihani wa darasa la Saba
Najiuliza kwanini nisisimamie mwenyewe mwalimu wa shule ya msingi?
Je, Serikali imenichukia sana kiasi cha kuninyang'anya majukumu yangu?
Hili limenisikitisha sana nahisi nakosa furaha yangu ya kawaida hapa shuleni
Ni kawaida yangu asubuhi kuwatia moyo watahiniwa kuwa watulivu kisaikolojia ila ukweli leo nimejikuta nimeshindwa kufanya hivyo
Je, huu ni muendelezo wa serikali yetu kutudharau waalimu shule za msingi?
Mkuu Nitake radhi kwanza, ningekuwa na akili ndogo ningefeli au ningekuwa form four failure kama walimu wa shule ya msingi. Kuhusu KKK ni ukweli kuwa wengi wenu hamjui kuifundisha mnasingizia kwamba ni mtaala mpya japo serikali inawapa semina za mara kwa mara kuhusu mtaala huo lakini bado ni tatizo ndio maana mtoto anaanza la kwanza anafanya mtihani wa darasa la saba hajui kusoma, kuandika wala kuhesabu lakini cha ajabu eti naye anafaulu kuingia kidato cha kwanzaMsovero una akili ndogo Sana
Nenda shule yoyote ya msingi kachukue takwimu za uwezo wa kkk kwa wanafunzi
Uje useme ni asilimia ngapi watoto hawajui kkk
Kuhusu mitihani kuchitiwa ni tatizo la mwanadamu kote duniani
Wapi hapa duniani mtihani haulindwi?
Nchini Tanzania mitihani yote inalindwa kwa mtutu wa bunduki kasoro mtihani wa darasa la saba
Kuna weakness ktk kulinda mtihani wa darasa la saba
Ukitaka kuamini, Basi tuiombe serikali ilinde mtihani wa darasa la saba na waache huru mtihani kidato Cha 4 kwa waalimu
Labda akili ya kukesha kukariri theories mbalimbali ktk masomo, Ila si akili ya kutathmin MamboMkuu Nitake radhi kwanza, ningekuwa na akili ndogo ningefeli au ningekuwa form four failure kama walimu wa shule ya msingi. Kuhusu KKK ni ukweli kuwa wengi wenu hamjui kuifundisha mnasingizia kwamba ni mtaala mpya japo serikali inawapa semina za mara kwa mara kuhusu mtaala huo lakini bado ni tatizo ndio maana mtoto anaanza la kwanza anafanya mtihani wa darasa la saba hajui kusoma, kuandika wala kuhesabu lakini cha ajabu eti naye anafaulu kuingia kidato cha kwanza