Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #41
Amevurugwa huyu kiumbeYaani anajua kama gesi hua inaisha ila hajui kama hua inajazwa?
Well ngoja umeme uishe utajua pa kuzipata main switch, meter na remote.
Au mapepo?Hiyo sio bangi Mkuu!
Ni kichwa chake tu.
Aisee, tuheshimiane tafadhali, Mimi sio bashaTatizo umeanza kumtafuna hivyo ashajiona mke.
Hili ndio jibu sahihi!Au mapepo?
Cha Njombe ndiyo hatari zaidi[emoji38]anakula cha Ar
Yani jumapili nilienda Church kama kawaida Aliona nilichukia ila Sikumsemesha Nilivyoludi tuu nikamuuliza unanidai sh ngapi????Nilikuwa nimempa Mshahara wiki Imepita Akaniambia Elfu kumi na Tano nikaingia Chumbani Nikampa Nikamwambia potea Sasa hivii nisikuone Machoni pangu Mjinga kabisa.Ulimfukuza kazi au ulimfukuza apotee mbele ya macho yako [emoji23]
π€ͺπ€ͺπ€ͺπππAaahahahahahaa looh jamaniii khaaaa........!!!
Mbavu zangu jamani π π π π π π π π uuuwiiiiiiiiii.
Naskia rahaa utamuuuu π
View attachment 1722892
Jamani rahaaaa, utamuuu.... πππ
Nimevimiss viziwa mkuki vyakoπΉπ·
Karibu JF Usiku wa Mananeπππππ
Buujiiiiii......
Karibu JF Usiku wa Manane