Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Nakuja kuku "HABABUA" na mapenzi ya Mboka ManyemaMie nataka mahaba usiku wa manane.
Ule uzi wa kukesha siuwezi...🤪.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja kuku "HABABUA" na mapenzi ya Mboka ManyemaMie nataka mahaba usiku wa manane.
Ule uzi wa kukesha siuwezi...🤪.
Mtaishije wawili tu wewe na houseboy? Ndo maana akuogopi.Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.
Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk
Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.
Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.
Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.
Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.
Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.
Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.
Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?
Nakuja kuku "HABABUA" na mapenzi ya Mboka Manyema
Yaaalaaahhhh....
Ndo nshalegea hivyooo...!!!
Asante kwa ushauri bro, NIMEKUELEWA SANAKuwa makini umeme ukiisha. Nguzo na mita ni mali yetu Tanesco.
Nimelegea hadi nashindwa ku comment,Bujii umezidiwa aamaaaaaa ....!!!🤪
Nimelegea hadi nashindwa ku comment,
Utamu mtupuAahahahahahahaaaa ngoja nije nikusinge na karanga...😋
Utamu mtupu
Ngoja nikuje hapohapo ulipoSaanaaa, jiandae tuu kuuhimili...😅.
Ngoja nikuje hapohapo ulipo
Wee mwenzako mi nalia jamani. Nani wa kunifuta machozi?Wuuhuuuuuu....!!!!!
Raahaaaaa saaaanaaaaaa......😛😛
Utanikuta tayari kwa mashambulizi 💃🏽💃🏽
Naloli nkamu amakambo ghakaa manunuAhahahaahaahaahahaa mbombongafu jelipo
Wee mwenzako mi nalia jamani. Nani wa kunifuta machozi?
Nakuja kwako kudeka
Kitendo cha kunipangia nirudi saa ngapi peke yake kibarua chake kingeota majani muda ule ule asubuhi ni safari ya kurudi kwaoNinaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri.
Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kupika, kuangalia nyumba nk
Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona analifunga geti, nikamuuliza mbona unafunga geti? Akanijibu nilidhani umeshatoka.
Jana nimechelewa kurudi, nikakaa getini kama dakika kumi, nimepiga sana honi, hakufungua, nikapiga Simu yake akawa hapatikani.
Nikachukia jiwe na kuanza kugonga geti, hatimaye akaja kunifungulia.
Nikaingiza gari ndani, niliposhuka akaanza kunigombeza kwanini namharibia usingizi, akaenda mbali kwa kusema kuwa kuzurura usiku ni tabia mbaya nitakutana na Malaya wanipe ukimwi.
Leo nimerudi jioni hii, ananiambia gesi imeisha hivyo mtungi ameutupa jalalani.
Uzuri ni kwamba jalala liko humu humu ndani ya uzio.
Hivi huyu angekuwa house boy wako ungemwelewaje?