Je, Huyu karani aliyeandika stakabadhi ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania yuko sahihi?

Je, Huyu karani aliyeandika stakabadhi ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania yuko sahihi?

Yes, kama hoja ni umakini, hata Ph.D level anaweza asiwe makini, kitu muhimu katika mahesabu ni getting fugures correct. Japo sifuri moja imeingia kwenye cents column, haisomeki kams cents kwasababu cents inakuwa separated na nukta.
Hizo hesabu ziko vizuri, aliyeandika sio kilaza, ila tusubiri observation ya Mkuu Mag3.
P
Huyo mwandishi ni mzembe wa hali ya kutukuka amejiharibia sana.
 
Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Angalia number vizuri ukifuata vyumba manake kapokea 3,000.000 sababu zero moja iko katika column ya cent. Tarakimu na kiasi kwa maneno vikitofautika kwa wahasibu ndio utata unapoanzia kama ingekuwa check basi bank hutoi pesa.
 
Mzembe yes, hoja ya mleta mada ni kihiyo, ukihiyo ndio uonyeshwe!.
P
Hahaaa! Inawezekana kwani hajui taratibu za kuandika pesa kwenye ERV? Au ndo wale wanaovamia fani labda alikuwa mpanga mafaili/mwangalizi wa ofisi anaenda kusoma cheti akarudi na kupewa masuala ya fedha
 
Yes, kama hoja ni umakini, hata Ph.D level anaweza asiwe makini, kitu muhimu katika mahesabu ni getting fugures correct. Japo sifuri moja imeingia kwenye cents column, haisomeki kams cents kwasababu cents inakuwa separated na nukta.
Hizo hesabu ziko vizuri, aliyeandika sio kilaza, ila tusubiri observation ya Mkuu Mag3.
P

tena ukitumia box nukta na koma hazina nafasi, muhimu ku cross all the t's na ku dot all the i's ndio weledi ulipo
 
Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.
No!, kaandika vizuri kabisa 30,000,000
Ile mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni kuziba nafasi ili figures zisiwe tempered.
P
Si kweli ukisemacho sifuri moja ya mwisho kaiandika sehemu ya senti ina maana ni 3,000,000. 0
 
Yes, kama hoja ni umakini, hata Ph.D level anaweza asiwe makini, kitu muhimu katika mahesabu ni getting fugures correct. Japo sifuri moja imeingia kwenye cents column, haisomeki kams cents kwasababu cents inakuwa separated na nukta.
Hizo hesabu ziko vizuri, aliyeandika sio kilaza, ila tusubiri observation ya Mkuu Mag3.
P
Mkuu samahani lakini hivi wewe ni mwanasheria? Hiki unachoandika hapa ni sahihi au walioweka hiyo sehemu ya kuandika cents ni wapumbavu? Inasikitisha sana.
 
Hakika hata mimi sijaona

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lipo lakini mleta mada ilitakiwa alioneshe. Binafsi nimeliona lakini haliathiri kitu, ni dogo sana.
Waalim wangu wa "primary", kama sijakosea, ilikuwa darasa la tatu alinifundisha kuwa ukiandika "digits za amount" usianze kuandika kutoka kushoto kwenda kulia. Anza kulia kwenda kushoto. Naishi na somo hilo na laiti aliyeandika hiyo risiti angepitiadarasa Hilo asingefanya makosa wala haiumizi kichwa.

Pia jamani tusisahau, si kila siku watu wanapigwa faini za million thelathinni. Nalo linachangia.
 
Tatizo lipo lakini mleta mada ilitakiwa alioneshe. Binafsi nimeliona lakini haliathiri kitu, ni dogo sana.
Waalim wangu wa "primary", kama sijakosea, ilikuwa darasa la tatu alinifundisha kuwa ukiandika "digits za amount" usianze kuandika kutoka kushoto kwenda kulia. Anza kulia kwenda kushoto. Naishi na somo hilo na laiti aliyeandika hiyo risiti angepitiadarasa Hilo asingefanya makosa wala haiumizi kichwa.

Pia jamani tusisahau, si kila siku watu wanapigwa faini za million thelathinni. Nalo linachangia.
Kosa lipo hapo kwenye Thirty millions. Alitakiwa aaandike Thirty million.
 
Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Mkuu Pascal kiasi cha tarakimu kipo sawa na uthibitisho wa kiasi cha maneno?!
 
Wizi wa fedha za serikali unaanzia katika maeneo kama hayo.

Column za shilingi ziko 10 na za cents ziko 2

Kwanini yeye kaanzia kujaza column ya 4?........NIA ilikuwa nini?!

Auditor hakuachi hapo lazima uzae naye!
Huyo anaonekana ama ni mzembe au hana ueledi wa kihasibu, maana kwenye hizo columns alitakiwa kujaza kutoka kushoto kwenda kulia na pia kukiwa na hizo columns hutakiwi kuweka hiyo mikato yaani column moja inakaa figure moja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.
No!, kaandika vizuri kabisa 30,000,000
Ile mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni kuziba nafasi ili figures zisiwe tempered.
P
usihesabu hiyo '0' ya mwisho maana iko kwenye sehemu ya 'cents'.......
 
Back
Top Bottom