polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Kwa mawazo yako ni chakipumbavu maana huna elimu ya fedha na uchumi lakini kifedha hilo ni kosa tena kubwa maana hiyo risiti ina utata kwa sababu ina amount mbili tofauti yaan ya maneno na tarakimu hazifanani kihasibu lakini , ila kisiasa hakuna tatizo hapoTunapenda kujadili vitu vya kipumbavu kabisa aiseee hii tz inabd impate mtu wa kunyoosha zaid
kilicho akilini kitumie