Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
True wilaya moja tu ya TANZANIA imejaa utajiri ambao thamani yake tu unalipa deni lote la taifa achilia wilaya zingineKwenye miti hakuna wajenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True wilaya moja tu ya TANZANIA imejaa utajiri ambao thamani yake tu unalipa deni lote la taifa achilia wilaya zingineKwenye miti hakuna wajenzi.
Mama anatakiwa atengeneze long term plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais. Yaani aangalie ni namna gani rasilimali tulizonazo zinaweza ku finance maendeleo yetu. Yeye badala yake anaendq kukopa mikopo ya ujenzi wa madarasa???? Yaani unaenda kukopa hela za kuwekea rehani resources zetu??? Nadhani ile timu ya wachumi angeitumiq ila kwa sasa anapuyanga tu Mama. Mungu atusaidie maana huko mbeleni watoto wetu watatushangaa sana maana watakuta kila rasilimali ya nchi tumekikopea
Yaani mi mpaka machozi yananitokaga nikifikiria. Sasa hivi nasikia kuna mradi vyuo vikuu eti world bank imeikopesha serikali kujenga miundombinu ya kuongeza idadi ya enrollments vyuoni ili kuongeza idadi ya wanaofika na kumaliza vyuo vikuu Tanzania.Kukop
Kukopa ujenge madarasa ni umasikini wa akili wakishamaliza shule wanakosa ajira.
Kopa jenga miundombinu ya kilimo uchochee uzalishaji export ikue upate mapato ufanye maendeleo.
Asiposafiri pia atalalamikiwa, atachekwa na kusemwa vibaya kama alivyosemwa hayati Magufuli.Kusafiri ni kuchezea kodi zetu.
Hatari snHuyu ni BIBI MARCOPOLO
Uwepo wa rais anayeongea na huyo mwarabu unaonyesha umakini wa Tanzania kulinganisha na ambavyo balozi angekuwa amekalia hicho kiti.Awamu ya nne tulishudia Jakaya kikwete akifanya ziara za nje huku akisahau kabisa masuala ya ndani ya nchi yake mpaka akapachikwa jina Vasco Da Gama.
Awamu hii nayo naona ni mwendo uleule. Juzi alikuwa ulaya. Leo yupo Uarabuni.
Hii ishu ya Uarabuni asingeweza kuwakilishwa hata na balozi?
View attachment 2131649View attachment 2131650
JPM ndiye rais aliyekopa kuliko marais wote tangu uhuru. Yote hayo uliyoyaandika aliyafahamu vyema.Mama anatakiwa atengeneze long term plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais. Yaani aangalie ni namna gani rasilimali tulizonazo zinaweza ku finance maendeleo yetu. Yeye badala yake anaendq kukopa mikopo ya ujenzi wa madarasa???? Yaani unaenda kukopa hela za kuwekea rehani resources zetu??? Nadhani ile timu ya wachumi angeitumiq ila kwa sasa anapuyanga tu Mama. Mungu atusaidie maana huko mbeleni watoto wetu watatushangaa sana maana watakuta kila rasilimali ya nchi tumekikopea
Fedha iliyokopwa haijajenga madarasa tu imeenda pia kwenye miradi ya maji, ujenzi wa vyuo hasa veta, kuimarisha miundombinu kwenye hifadhi zetu, kuimarisha utoaji huduma wa afya kwa ujenzi wa ICU, EMD kununua mitamboMama anatakiwa atengeneze long term plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais. Yaani aangalie ni namna gani rasilimali tulizonazo zinaweza ku finance maendeleo yetu. Yeye badala yake anaendq kukopa mikopo ya ujenzi wa madarasa???? Yaani unaenda kukopa hela za kuwekea rehani resources zetu??? Nadhani ile timu ya wachumi angeitumiq ila kwa sasa anapuyanga tu Mama. Mungu atusaidie maana huko mbeleni watoto wetu watatushangaa sana maana watakuta kila rasilimali ya nchi tumekikopea
Sawa mkuu lakini tatizo letu la msingi kama taifa ni nini???? Kwa nini tusingetumia hizo hela government expenditure zinazochochea uchumi?Fedha iliyokopwa haijajenga madarasa tu imeenda pia kwenye miradi ya maji, ujenzi wa vyuo hasa veta, kuimarisha miundombinu kwenye hifadhi zetu, kuimarisha utoaji huduma wa afya kwa ujenzi wa ICU, EMD kununua mitambo
.
Na fedha hii ilikua muhimu kwani iliingizwa kwenye uchumi ili kupunguza maumivu yaliyotokana na janga la uviko-19
Yaani akili za kimasikini kabisa, ndiyo maana waarabu wanaona waislamu wa africa ni wajinga. Hivi kuna nchi iliwahi endelea kwa mikopo toka mataifa yaliyoendelea????
Hela haijawahi kutosha kakaTrue wilaya moja tu ya TANZANIA imejaa utajiri ambao thamani yake tu unalipa deni lote la taifa achilia wilaya zingine
Me naami kifo Cha Magufuli si tuu mafisadi walifurahi hata viongozi aliokuwa nao madarakani walifurahiKama karudi juzi Mama anasema eti kuna hela sijui umoja wa Ulaya eti ni za kuchangamkia, ni moja ya kauli mbaya kabisa kutolewa na kiongozi ambaye nchi yake ina rasilimali nyingi kuzidi nchi nyingi za Ulaya. Yaani anatuaminisha sisi ni maskini, yaani kweli anaamini hivyo????? Yaani badala ya kufanya kama Dkt Magufuli ili tujiamini tujifunge mkanda ili nchi yetu iweze kujitegemea yeye anaendekeza eti mikopo mikopo, dah basi tu
Mkuu hii nayo hojaKukop
Kukopa ujenge madarasa ni umasikini wa akili wakishamaliza shule wanakosa ajira.
Kopa jenga miundombinu ya kilimo uchochee uzalishaji export ikue upate mapato ufanye maendeleo.
Mkuu hii nayo hoja
Lazima tuanze na mazingira wezeshi ya Elimu mengine yanafuata