Kutengeneza "longterm plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais" inataka kuwekwa kwenye katiba. Ndio maana tunasema katiba mpya ni muhimu sana sana kama kweli tunataka tutoke kwenye taifa masikini ombaomba la hovyo
Kwani serikali ilishindwa kujenga kwa kutumia hela za ndani mpaka mkopo??? Je unajua mazingira ya waalimu???? Je ni muhimu kila mtoto aende asome???? Kwa nini tusinge badili mfumo tukabaki na wachach???? Kwa ufupi taifa letu tunajiendeaWamejifidia nini? Tupe ushahidi kwamba wamejifidia? Acheni fukra potofu kuzusha mambo bila ushahidi
.
Kwani tulikua hatusafiri ila
1.kuna wanafunzi bado walikua wanakaa kwenye madarasa ya miti,
2.watu walikua bado wanasafiri zaidi ya km5 kufuata huduma ya afya
3. Bado mbanano upo kwenye shule za kata na hakuna shule za kata mpya zilijengwa mpaka sasa
4. Maji mfano kule Musoma vijijini bado yalikua yanatoka kwa shida
5. Kigoma na kagera mf ngara kulikua na tatizo la maji
Waja hawana jema aliyekuwa hasafiri hawanamtaki anayesafiri naye hawamtakiYule jiwe a.k a mzimu wa sukuma gang ndiyo amesababisha yote haya. Aliua biashara zote kubwa na ndogo kwa kupora fedha za watu. Vyanzo vyote vya Kodi vikafa. Akawa anakopa hovyo tena kwa siri kubwa mikopo ya kibiashara ambayo riba zake ni kubwa.
Mama hana namna lazima asafiri ili apate mikopo, maana nchi imeachiwa matatizo na madeni makubwa na jiwe.
Asante mama endelea kuinusuru nchi.
Huwez mpangia rais asisafiri kwa sababu eti kodi inatoka kwako.. so what?Kusafiri ni kuchezea kodi zetu,si lazima usafiri Ili kuvutia wawekezaji
Kwann asitume wawakilishi kupunguza gharama,mbona maraisi wengine sio vasco da gama na mambo makubwa Sana wanafanyaHuwez mpangia rais asisafiri kwa sababu eti kodi inatoka kwako.. so what?
kuna umuhim wa hiyo kitu. Hasafiri bila mpangilio.
Long term plan haitengenezwi na rais pekee.Mama anatakiwa atengeneze long term plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais. Yaani aangalie ni namna gani rasilimali tulizonazo zinaweza ku finance maendeleo yetu. Yeye badala yake anaendq kukopa mikopo ya ujenzi wa madarasa???? Yaani unaenda kukopa hela za kuwekea rehani resources zetu??? Nadhani ile timu ya wachumi angeitumiq ila kwa sasa anapuyanga tu Mama. Mungu atusaidie maana huko mbeleni watoto wetu watatushangaa sana maana watakuta kila rasilimali ya nchi tumekikopea
Kwa mwaka unalip kodi kiasi gani?Kusafiri ni kuchezea kodi zetu,si lazima usafiri Ili kuvutia wawekezaji
Huwezi waridhisha wanadamu watalaumu kila kituAsiposafiri pia atalalamikiwa, atachekwa na kusemwa vibaya kama alivyosemwa hayati Magufuli. Waswahili wanasema "maneno huumba" ndio maana kipindi cha JK waPo waliosema Tanzania inahitaji raisi mkali, na mwenye sifa za udikteta dikteta, basi ghafla akapatikana huyo aliehitajika. Pia wakati wa hayati Magufuli wapo waliomcheka kwa kutokusafiri kwake including na ukali wake, na chembe chembe za udikteta, wakasema raisi ni mkali sana, ana chembe za udikteta na huwa hasafiri kama mwenzie aliepita nk, ghafla akaletwa tena mpole, na msafiri safiri kama watu walivyohitaji.
Kacheck TRA utakijua kiasi.Kwa mwaka unalip kodi kiasi gani?
Na unakwepa kiasi gani?
Hao wawakilishi wanatumia nn kusafiri?Kwann asitume wawakilishi kupunguza gharama,mbona maraisi wengine sio vasco da gama na mambo makubwa Sana wanafanya
Don’t deflect the question, wewe kama wewe unalipa kodi kiasi gani, unakwepa kiasi gani? Accountability is transparent and begins with me and youKacheck TRA utakijua kiasi.
Tangu UHURU ni kukopa tu,Ina maana wote akili zao sawa hawana ubunifu mwingine wa kupata pesa bila kukopa?
Yule Mwendazake aliyezikwa Chato alikuwa mlemavu wa moyo. Kuna kifaa kinaitwa Pacemaker aliwekewa mwaka 1992 akiwa mwanafunzi wa UDSM.Awamu ya nne tulishudia Jakaya Kikwete akifanya ziara za nje huku akisahau kabisa masuala ya ndani ya nchi yake mpaka akapachikwa jina Vasco Da Gama.
Awamu hii nayo naona ni mwendo uleule. Juzi alikuwa Ulaya. Leo yupo Uarabuni.
Hii ishu ya Uarabuni asingeweza kuwakilishwa hata na balozi!
View attachment 2132065
View attachment 2131649View attachment 2131650
Hiyu ni vasco da gama wa kime, walahi nawabieni. Hakuna mwaliko anapiga chini.Awamu ya nne tulishudia Jakaya Kikwete akifanya ziara za nje huku akisahau kabisa masuala ya ndani ya nchi yake mpaka akapachikwa jina Vasco Da Gama.
Awamu hii nayo naona ni mwendo uleule. Juzi alikuwa Ulaya. Leo yupo Uarabuni.
Hii ishu ya Uarabuni asingeweza kuwakilishwa hata na balozi!
View attachment 2132065
View attachment 2131649View attachment 2131650
Hakika mkuu.Huwezi waridhisha wanadamu watalaumu kila kitu
Huna akili wewe pimb. Hoja ni kusafiri kwa kila event au ni kuwa na safari zenye tija.?Huwezi waridhisha wanadamu watalaumu kila kitu
Ona unavyokurupuka wkt nimemjib mtu mwingineHuna akili wewe pimb. Hoja ni kusafiri kwa kila event au ni kuwa na safari zenye tija.?
Yeye kama rais anaweza kusimamia na likawezekana.Long term plan haitengenezwi na rais pekee.
Sisemi haiwezekani. Inawezekana sana. Ila kuna mahali atakwama. Kwenye bunge na siasa.
Until vingozi wa ngazi zote watakapoa acha tamaa hiyo kitu haitopita