Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Kwani atafufuka akiwa Rais?
 
Kwanza kabisa nadhani anaanza na huyo mama yenu, pili ana mwambia majaliwa umekubali kuwa sehem ya hawa wahuni kama makam mwenye kiti, tatu anamwambia nchemba nenda singida, nne kamba ,anatenguliwa , tano, mama yenu atapelekwa ubalozini Madagascar Madagascar hahahahahah hahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…