Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?


Hawezi kufufuka ameshaoza tayar kaburini! Hebu waza vitu vyenye akili mxiyuuu
 
Tutamuwekea wimbo wa SkeletunπŸ’€ wa Tekno acheze,..πŸ˜„.au siyo ghostπŸ‘» yake?
 
Atapiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa na kufunga tena mitandao yote kama 2020 wakati wa uchaguzi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwikwikwii
 
Swala la kufufuka naona tuongee na huyo yesu wa kenya.
 

Watu hasa wanafiki waliokuwa wanajifanya kumpebda sana na sasa wapo kinyume kabisa kwa matendo yao watakimbilia chooni!
 

Yule jamaa alikuwa na maono...hatashangazwa na chochote...atacheka tu kile kicheko chake na ataendelea na maisha huku akiwaonea huruma watanzania.....

Infact angeshangazwa km mambo yangeenda km alivyotamani yaende...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…