Je, ikiwa Mrusi na Mchina wakiungana kijeshi kutaka kum-maliza Mmarekani kivita itachukuwa muda gani?

Je, ikiwa Mrusi na Mchina wakiungana kijeshi kutaka kum-maliza Mmarekani kivita itachukuwa muda gani?

Huyu myusa si ndio alikula mkono kule kwa walima mpunga vietnam Ikabidi sasa aanze kuleta muvi.!!
Lete takwimu za ile vita, afu uone nani alipigwa.Wa vietnam walikufa mamilioni ila wa marekani ni kama 58,220 tu.
Marekani alionekana kashindwa kwa sababu lengo la vita halikufikiwa kuutoa ujamaa ila vitan hao walima mpunga wako walikufa kama kuku

Not until 1995 did Vietnam release its official estimate of war dead: as many as 2 million civilians on both sides and some 1.1 million North

Acha story za vijiweni wewe takwimu zipo siku hizi kila sehem
 
Lete takwimu za ile vita, afu uone nani alipigwa.Wa vietnam walikufa mamilioni ila wa marekani ni kama 58,220 tu.
Marekani alionekana kashindwa kwa sababu lengo la vita halikufikiwa kuutoa ujamaa ila vitan hao walima mpunga wako walikufa kama kuku

Not until 1995 did Vietnam release its official estimate of war dead: as many as 2 million civilians on both sides and some 1.1 million North

Acha story za vijiweni wewe takwimu zipo siku hizi kila sehem
Ukishindwa lengo ndio umeshindwa vita bwashee! Hata pale Syria alishindwa kumtoa assad. Ukraine akijiunga Nato na silaha za US zikiwekwa pale urusi atakua ameshindwa vita. Hata kama ataua wa ukraini milion 3
 
Ukishindwa lengo ndio umeshindwa vita bwashee! Hata pale Syria alishindwa kumtoa assad. Ukraine akijiunga Nato na silaha za US zikiwekwa pale urusi atakua ameshindwa vita. Hata kama ataua wa ukraini milion 3
KUNA VITA NA LENGO LA VITA, HAYO NI MAMBO MAWILI TOFAUTI KABISA.
 
Ukishindwa lengo ndio umeshindwa vita bwashee! Hata pale Syria alishindwa kumtoa assad. Ukraine akijiunga Nato na silaha za US zikiwekwa pale urusi atakua ameshindwa vita. Hata kama ataua wa ukraini milion 3
KUNA VITA NA LENGO LA VITA, HAYO NI MAMBO MAWILI TOFAUTI KABISA.

Na ndo mana katika maisha kuna kufanikiwa na kufikia mafanikio ya malengo yako. Unaweza fanikiwa ila usifikie malengo yako yote
 
USA na Europe thamani ya utu imefika kiwango Cha Juu, watu wanataka kula Bata na kufurahi..

Hizo Silaha wanatengeneza na kujilinda, na kujiimarisha ili kujilinda na washenzi wachache wasio na utu kama wacommunisti akina Kiduku, na putini

Hata Mchina hataki vita, ameshaanza kuwa mstaarabu. Mchina hataki vita, Mchina anacheki fursa za uchumi

Wabongo tu ndio wanashabikia vita kama mpira wa Simba na Yanga

TANZANIA bado ushenzi wa uccommunisti upo, ustaarabu bado..

Wanapiga watu mabomu waliandamana, kuiba kura, ufisadi na uwoga wa Watanzania... kulalamika kwenye key board
 
Huyu hawezi kukuelewa kutokana na ushabiki wake kwa urusi na china
Nikwambie kitu katika nchi ambayo imehakikisha ina uwezo wote wa ndege vita ni Us na sio propaganda na pia sikuingia deep kuhusu usalama na capabiiity ya hizi carrier nakwambia jamaa wameinvest hatari google utapata mengi wether you like it or not.
 
Nikwambie kitu katika nchi ambayo imehakikisha ina uwezo wote wa ndege vita ni Us na sio propaganda na pia sikuingia deep kuhusu usalama na capabiiity ya hizi carrier nakwambia jamaa wameinvest hatari google utapata mengi wether you like it or not.
Tatizo yeye anacomment huku akiwa na zile propaganda za Russia kichwani mwake,ukweli siku zote hauzuiliki.Walikuwa wanatuaminisha ubora wa Jeshi la Russia lakini kwa kinachoendelea Ukraine,acha tu na tukubali US wako mbali sana.
 
Marekani Angekuwa anajiweza sana kijeshi angeshajitoa NATO siku nyingi,pro u.s.a naona mnajitahidi sana na propaganda wakati ukweli mnaujua,putin ameshasema anaejiweza aende ukraine akarushe hata risasi moja kama yeye kidume kweli,
Unatuletea habari za Ukraine hapa tena,huyo US aende kufanya nini Ukraine wakati Russia anahangaika na Zelenskyy mpaka sasa,hebu shindeni kwanza hiyo vita ndiyo muanze kuleta blah blah za US akarushe risasi akione.
 
Asante kwa somo zuri.

Hapo kwenye nyambizi, emb naomba ukipata muda utuletee n sifa za hii Typhoon Class submarine.
 
Back
Top Bottom