Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Hebu weka clip za Nyerere na huyo Mahiga wakiongea kiingereza ili tuamini. Otherwise wewe utakuwa umekula makande na maharage kwa shemeji yako na kuvembewa.
Mkuu Jamaa ana Chuki zake na Nyerere.
 
Global matters are not our concerns, ours is who among the dignitaries spoken of was good at English, forget about Sect, kissinger and Gov, Arnold who aint Tanzanians.

Knowing global matters and knowing English are two different issues.
Who taught you this Primary School English of yours?
 
Kusema Rais Mstaafu Kikwete alijua na anajua Kiingereza nitakubishia mpaka Kunakucha Mkuu. Kwa Mzee Msuya sawa nakukubalia kwani Mpare huyo licha ya kuijua hiyo Lugha pia ni Mwerevu ( Intelligent ) mno.
 
Nani huyo anayeongea sekunde chache kisha anakohoa na kushushia glass ya maji
 
Hiv kile kiingereza cha wasanii( shishi,harmonize) wanasomea wap nami nikasome
 
Mie pia nataman sana kua fluent kwenye kingereza. Bado napambana and I can see some improvements. Cha msingi wewe endelea kujifunza huku uki practise na kujichanganya na wanaoongea kingereza kdogo kdogo utajikuta upo vizuri.All the best
 
Njia nzuri kabisa ni kukiongea. Tafuta watu wanaoongea kwa ufasaha ungea nao kwa kipindi cha miezi 6 ama 12 utakuwa bora. Ama nenda kaishi nchi wanakoongea English, pia fanya urafiki na watu ili ukizungumze.
 


Sasa unabishana na mimi kitu gani na unakubaki kitu gani??--- wewe mwenyewe umejipiga kitanzi.

Mahiga kaishi nje kwa wenye lugha hivyo he is much more exposed than Nyerere, grammar yake ni nzuri na mtiririko wake ni mzuri na accent yake kama added advantage ni nzuri tupilia mbali point za kidiplomasia alizokuwa akizimwaga katika forums mbalimbali kimataifa.

Exposure ya Nyerere ni Ednburg Scotland miaka hiyo akisoma , kiingereza fasaha kipo England/London sio Scotland , Wales, au Ireland.
 
Mkuu Jamaa ana Chuki zake na Nyerere.

Nimchukie kwa lipi huyu mzee wa taifa, shida mahaba yamewapofua kiasi kwamba hamtaki kukubali ukweli, kweli nimeamini mahaba ni upofu, kipendacho chongo huona kengeza.
 
Mie naona hujui kiingereza, na ndio maana huelewi nilichosema, ndio conclusion yangu
 
Mie naona hujui kiingereza, na ndio maana huelewi nilichosema, ndio conclusion yangu


Pointless.
Kutojua kitu sio tiketi ya kutojua judgment ya kitu hicho.

Watu wengi wanasema Messi anajua mpira je hao wote wanajua kucheza mpira kama yeye???

Juu ya yote ninajua kiingereza kiasi changu, namshukuru Mungu, ila acheni mahaba na shikeni ukweli japo ukweli huo utamshusha yule umpendaye.
 
Mkapa Mwenyewe hata katika Op-ed zake katika Gazeti la The Citizen miaka ya nyuma alimsifia mno Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa alikuwa ni 'Wordsmiths' hasa. Je, tumuamini 'Genius' Mkapa au 'Moron' Wewe?


Ilibidi amsifie kwakuwa yeye alikuwa mwalimu wake Pugu sec,

Kwani mimi nikiwasifia waalimu wangu wa kiingereza nilipokuwa shule na chuo ni vibaya, nilikuwa na mwalimu mmoja kibaha sec, Nyerere hatii mguu kwa kiingereza cha huyo Mbabe (Msc In Electrical) kaipatia London,

Nashangaa unakuja wewe blind fool na mahaba yako pofu kumsifia Nyerere mbele ya Wababe wa lugha, ninayo mashaka makubwa na your English prowess.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…